Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Kuhusu kuwa kimya kwa muda mrefu.
Majibu
'Nilikuwa nimekaa kimya kwasababu nilikuwa nataka wasanii wa lebel yangu na wenyewe waachie ngoma zao'-Diamond
Kuhusu picha aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa ista Zari akiwa ndani ya maji na mwanaume mwingine. Majibu
'Mara ya kwanza nilipoona picha ya Zari kapiga na mtu kwenye maji nilipanic na nilichokiandika kwenye insta yangu nilimaanisha
'Baada ya Zari kuona post yangu Insta alikuwa ofisini na alirudi nyumbani na aliponielewesha nilikuwa mpole'-Diamond Platnumz
'Baada ya post yangu ya insta wasanii wengi walinipigia simu, Psquare na Fally Ipupa walinicheki' - Diamond Platnumz
Kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Hamisa Mobeto na kumpa ujauzito
'Kuhusu mimba ya Hamisa mimi sijawahi kuwa na mahusiano naye hizi ni stori ambazo kila siku hata mimi nazisikia' - Diamond Platnumz
Kuhusu yeye na Alikiba
'Nilishawahi kufanya shoo ya pamoja na Alikiba Muscat, baada ya kurudi Tanzania ndio aliachia ngoma yake ya Dushelele'-Diamond [HASHTAG]#xxlcloudsfm[/HASHTAG]
'AT namfahamu ila alichokizungumza kuhusu mimi na Alikiba sijui ana maana gani' - Diamond Platnumz
Diamond ametoa wimbo mpya unaoitwa I MISS YOU
'Baada ya kuachia ngoma yangu leo baada ya wiki tatu naachia ngoma nyingine'- Diamond Platnumz
Pia amesema kwamba wasafi hawana tatizo lolote la msanii Harmonize kuhusu yeye kufungua studio yake mpya ila hiyo ni furaha kwao kwani ni dalili ya kuonyesha kuwa mtoto amekuwa na huo ni mwanya wa wao kuingiza wasanii wapya ndani ya wasafi kwa kuwa wale wa mwanzo tayari wamekua.
'Hatuja kasirika Harmonize kufungua studio yake kwahiyo sisi kama WCB hatuna neno kabisa'-Diamond Platnumz
'Kitu kingine ambacho watu hawakijui ni kuwa Rayvanny anafungua studio yake na produce wake atakuwa Rash Don'-Diamond Platnumz
'Kuhusu Q boy alisimamishwa kutokana na makosa baada ya hapo alienda kuongea vitu vya tofauti nje'-Diamond Platnumz
Majibu
'Nilikuwa nimekaa kimya kwasababu nilikuwa nataka wasanii wa lebel yangu na wenyewe waachie ngoma zao'-Diamond
Kuhusu picha aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa ista Zari akiwa ndani ya maji na mwanaume mwingine. Majibu
'Mara ya kwanza nilipoona picha ya Zari kapiga na mtu kwenye maji nilipanic na nilichokiandika kwenye insta yangu nilimaanisha
'Baada ya Zari kuona post yangu Insta alikuwa ofisini na alirudi nyumbani na aliponielewesha nilikuwa mpole'-Diamond Platnumz
'Baada ya post yangu ya insta wasanii wengi walinipigia simu, Psquare na Fally Ipupa walinicheki' - Diamond Platnumz
Kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Hamisa Mobeto na kumpa ujauzito
'Kuhusu mimba ya Hamisa mimi sijawahi kuwa na mahusiano naye hizi ni stori ambazo kila siku hata mimi nazisikia' - Diamond Platnumz
Kuhusu yeye na Alikiba
'Nilishawahi kufanya shoo ya pamoja na Alikiba Muscat, baada ya kurudi Tanzania ndio aliachia ngoma yake ya Dushelele'-Diamond [HASHTAG]#xxlcloudsfm[/HASHTAG]
'AT namfahamu ila alichokizungumza kuhusu mimi na Alikiba sijui ana maana gani' - Diamond Platnumz
Diamond ametoa wimbo mpya unaoitwa I MISS YOU
'Baada ya kuachia ngoma yangu leo baada ya wiki tatu naachia ngoma nyingine'- Diamond Platnumz
Pia amesema kwamba wasafi hawana tatizo lolote la msanii Harmonize kuhusu yeye kufungua studio yake mpya ila hiyo ni furaha kwao kwani ni dalili ya kuonyesha kuwa mtoto amekuwa na huo ni mwanya wa wao kuingiza wasanii wapya ndani ya wasafi kwa kuwa wale wa mwanzo tayari wamekua.
'Hatuja kasirika Harmonize kufungua studio yake kwahiyo sisi kama WCB hatuna neno kabisa'-Diamond Platnumz
'Kitu kingine ambacho watu hawakijui ni kuwa Rayvanny anafungua studio yake na produce wake atakuwa Rash Don'-Diamond Platnumz
'Kuhusu Q boy alisimamishwa kutokana na makosa baada ya hapo alienda kuongea vitu vya tofauti nje'-Diamond Platnumz