Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niko salama sana tu mkuuInshallah namshukuru Mola nimeamka salama kabisa and my king Smart911 also is doing very well.
U hali gani wewe rafiki??
Smart911 vipi kwema MkuuGood Morning Love, thank you for the wonderful night and a good morning...
Anajitoa ufahamu kwa bibie kasinde[emoji23][emoji23][emoji23] ni vema akamuanzishie uzi atiririke na yeye
Ashukuriwe mnyazi munguMimi niko salama sana tu mkuu
Thank you super dear... ndimu nitaziweka mbali... i like supu...
Hahahaaa!Shunie bhana hebu amuache mwenzie[emoji28][emoji28][emoji28]
Siwezi mwambia mtu love... What am happy about you unanisikiliza na kuniamini... nimekutuliza na ukatulizika...
Toka lin kaka akamuandikia dada ake mambo ya kitandan sio taratibu zetu sie mie haya maneno ntamwandikia Heaven Sent tu peke ake
Woyooooo... hahahaha... kill me softly...
Ha ha ha kwel kabisa kaka yako siwez aisee kukuandikia hayo maneno labda fakalava na yule mwengne mwenye jina la kifilipinowameachana [emoji23][emoji23] sakayo ana mwingine
huyo bonny ndio hawezi hivi ataanzaje na foleni aliyonayo kama Daby na babu asprin [emoji23][emoji23]
Puppy love hizi,thank god nliachana nazo utotoni,mambo ya mahaba ni private bana,asa kila mtu akiamua kuweka barua humu kwa mpenzi wake itakuwaje.no offense lakini
The world is yours buddyLife's ours!
Hahahaha... Unajua hayo mayowe ni ya nini... hahaha... amazing...