Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Now we have two academy award winning sequel!
Umenishinda tabia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Now we have two academy award winning sequel!
Usijali watakujahahhahah eb ngoja aje atuambie alikosea au alimaanisha
na mm natamani atokee wa kuniandikia [emoji23][emoji23]
Mungu naona kaskia kilio changu [emoji23]Oooh!! Naona umepata wa kukuandikia.
Hapo weka tu saini,,,,[emoji125] [emoji125] [emoji125] nasubiri ya kwakoIwe kweli tu
Aiseee......
Tulia... Leo zamu ya Mahondaw... Ikichuja hii nakuandikia. Mwache Mahondaw atese kwanza.hahhahah eb ngoja aje atuambie alikosea au alimaanisha
na mm natamani atokee wa kuniandikia [emoji23][emoji23]
hahahahhah mzee wa kungoa la mujar anakuulizia kila siku eb mtafuteTulia... Leo zamu ya Mahondaw... Ikichuja hii nakuandikia. Mwache Mahondaw atese kwanza.
Unasubiri ya kwangu na nani Jovitha?Hapo weka tu saini,,,,[emoji125] [emoji125] [emoji125] nasubiri ya kwako
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]mahondaw shost najuaga mpo kwenye matani n smart msiniambie ni serious
....multiple award winning flick...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Umenishinda tabia.
mahondaw shost najuaga mpo kwenye matani n smart msiniambie ni serious
Aiseee......I never expect this kwakweli mpaka nashindwa niseme nini!
Smart911 , wewe ni mwanaume wa kipekee sana sijawahi ona . Ni mwanaume ambae umenifanya mahondaw mimi walau kuwaka pia hapa jf. Nilikua gizani nimezima kabisa sina aa wala bee nipo nipo tu mahondaw mimi jamani.
Ukaniona nakufaa ukanichukua ukanisafisha walau nikapata kuonekana namimi .
Smart911 mylove Nina kila sababu ya kujivunia kuwa nawewe katika maisha yangu
Smart911 wewe ni mwanaume wa msimamo usio kifani Smart911 yani sijui nisemeje
Smart911 ukipenda umependa kweli hunifichi chochote kile Smart911 thanks for that
On what makes me happy you support me in that, when I'm sad you comfort me , when I fall you pick me up , you never leave me behind hurt nawewe ukiwepo thanks again
Umekua na moyo wa kipekee sana Smart911
Umepambana umepigana sana mpaka tumefika hapa tulipo. Tumepata changamoto nyingi sana hapa nyingine kutoka kwa marafiki zetu wa karibu kabisa wakitaka tu kuchafua jina na kuvuruga uhusiano huu but thank God Umekua ukiwapuuzia yote hio ikiwa ishara ya upendo wako kwangu. Thanks for choosing me.
Nakupenda sana Smart911
Duuuuu hii essay yote unataka marks 20 kwenye paper?
Au ni kwa ajili ya papuchi tu