MAHONIA: Uchaguzi huu unaenda kuamua kati ya KIFO na UHAI wa CHADEMA

MAHONIA: Uchaguzi huu unaenda kuamua kati ya KIFO na UHAI wa CHADEMA

M
Lissu anahaha sana kupata kura za huruma na HATAZIPATA! Mwenzake Mbowe katulia tu. Anasubiri kumpeleka mtu kibra!
Muda ulishamsaliti Mbowe, awaachie na wenzake waongoze.
Chama sio mali yake, kwa nini pamoja na mkwamo huu aendelee kuongoza?
 
Chama cha Mbowe kikifa Lissu atabaki hili ndo linanipa Tumaini.
 
Kwani wao ninani ktkt chama walikuwapo kina zito, slaa, wardi kabiru, nabado chama kikasonga mbele sembuse hao uliowataja let them go chama ni taasisi akiondoka Mtu mmoja anakuja mwingine unazUngumzia lema ambaye ameshindwa kuongoza Kanda
Kama kilisonga mbele;
Kina wabunge wangapi

Kina madiwani wangapi.
 
Aliondoka Dr. Kaburu Katibu Mkuu wa chama CDM hakikufa.
Alindoka Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo chama hakikufa kikazidi kukua na kustawi.
Alindoka Dr. Slaa Katibu Mkuu na muasisi wa CDM ni msingi chama kikachanua - itakuwa Lissu? ana nguvu vipi kuwazidi hao na wengime ambao sijawataja.

Lissu ameharibiwa na wanaharakati wa mitandaoni na wale waishio ughaibuni wanataka kumtumia kukiteka chama kiwe cha kiuana-harakati ambapo ni hatari wa usalama wa wanachama, wapenzi na nchi kwa ujumla. Wana CDM kilindeni chama chenu kwa wivu mkubwa kama hao wanaharakqti wanataka kufanyq siasa office za msajili zipo wazi wakajaze form za maombi au lah wakavamie TLP haina mwenyewe.
CDM si mali ya wana CDM tu bali ndiyo tumaini pekee la watanganyika wote.
Kwa kawaida uanaharakati hufa baada ya kupata Uhuru was aina yoyote.Unasema Tundu anatofauti gani na viongozi waliowahi kuhama cdm? Tofauti ni moja; dhamira na ukweli anapoamini nchi haitawaliwi kama ilivyopasa kutawliwa kidemokrasia.
 
Eti CHADEMA itategemee Wenje,Sugu na Yericko Nyerere ambae haijulikani Sana ngapi anafanya siasa. Like serious?
 
Kwani wao ninani ktkt chama walikuwapo kina zito, slaa, wardi kabiru, nabado chama kikasonga mbele sembuse hao uliowataja let them go chama ni taasisi akiondoka Mtu mmoja anakuja mwingine unazUngumzia lema ambaye ameshindwa kuongoza Kanda
Tatizo la uchawa na ubinafsi zinamfanya chawa asiweze kutambua malengo aliyopigania miaka yote,uchawa na ubinafsi ni sumu kwa Jamii na Taifa ni wakati wa kukataa uchawa na ubinafsi
 
Kwani wao ninani ktkt chama walikuwapo kina zito, slaa, wardi kabiru, nabado chama kikasonga mbele sembuse hao uliowataja let them go chama ni taasisi akiondoka Mtu mmoja anakuja mwingine unazUngumzia lema ambaye ameshindwa kuongoza Kanda
Awamu hii mambo yapo tofauti
 
Kwani wao ninani ktkt chama walikuwapo kina zito, slaa, wardi kabiru, nabado chama kikasonga mbele sembuse hao uliowataja let them go chama ni taasisi akiondoka Mtu mmoja anakuja mwingine unazUngumzia lema ambaye ameshindwa kuongoza Kanda
Kumbuka wakati huo umma ulikua unamwamini sana Mbowe na hapakuwahi kutokea mtu wa katiba ya TL muwazi na mkweli kushindanishwa na Mbowe.

Huyu wa sasa hakubaliki nje ya wale watu wa makao Makuu. Hata Kikwete angeongezea Muda asingependwa na kuwa mtu wa watu kama ilivyo leo.

Mbowe amechuja kama khanga inayovamiwa muda wote bila kubadilishwa.

Lakini pia Hii Chadema itakifa kutokana na aina ya siasa za maswahiba wa mbowe wanavyofanya ,yaani siasa za sasa za maridhiano za CCM kushinda kwa 99% zinawafanya wetu waone kuwa siasa ni utapeli na kupoteza muda tofauti na wakati ule wa kina Kaburu walipoondoka uchaguzi ulifanywa na CCM ikapigwa chini na mgombea wa chadema hivyo uhai wa chama unakuwa umeimarika .

Lakini kumbukeni kubwa Mbowe hajawahi kuwa na mvuto yeye kama yeye zaidi ya kuwatumia watu maarufu . Mbowe aligombea urais akapata kura laki nane za baadhi ya Wachaga wenye kuendekeza ukabila . Kuanzia hapo Mbowe hakujaribu tena kugombea Urais zaidi ya kutafuta watu maarufu na wanaokubalika kuliko yeye akiwemo Lisu.
 
Back
Top Bottom