Twande umenifanya nicheke! mpaka basi, ngoja tubaki na ya mkuu Mtambuzi yangu nitaitolea majibu siku ingine.
Jibu liko juu.
Nilizaa na hg mtoto sasa yuko form I, mke wangu akakubali yaishe akanisamehe nilimtunza mtoto na mama yake kwa kuwachukulia chumba na kumgharamia mpaka sasa. Ilikuwa ni one shoot one goal. Toto zuri hilo limetoka ki coloured kama babake.
Kisanga mwaka jana nikabambwa nimemshikisha hg mwingine nanihino, sijafanya nae kabisa. mpaka leo mke wangu hataki hata nimguse. Sijaona sambusa toka mwezi wa 6 mwaka jana. Anaetaka tufarijiane haya tena.
Usisikie ma hg watamu, hasa wakishakoga halafu wanajipaka sabunimbadala wa mafuta basi akikupitia automatiki unakumbuka ngunga kwa harufu ya sabuni.
T.O.M.B.A huyo.
JS mbona unakomalia hii maneno! mkuu Mtambuzi kashasema unauwa kimyakimya!Tujibu bana mbona unatubania? :eyebrows:
Daaah yaonyesha keshakuwa wifi yetu mana hata kumwongelea vibaya huwezi tena lol. . Kidogokidogo utatangaza ndoa love in the aiiir. . .Lmao.
hahahaaa nimecheka kwa huzuni! Mana huregret! Imagine ulisamehewa na mkeo mwenye moyo mkubwa mana mi hata iyo awali nisingekusamehe! Anyway ngoja nipunguze makali unimalizie hako kakipengele huko ulimpangia bibie ulikuwa unaenda kuongeza njia ya kujifungua? Mpaka kesho? Au nae saivi hapaki sabuni tena mvuto umeondoka? Tehetehee du! Yote tisa umerudia? Mweee! Na mimi ntaanza kupaka sabuni hahahahaaa umenichekesha sana anyway. .
Nipo kikazi katika mkoa mmojawapo kaskazini ya Tanzania, kwakuwa nyumba niliyopewa kuishi ni kubwa, imenibidi nitafute msaidizi wa kazi za nyumbani.
Nimepata msichana ana wiki ya 2 sasa tangu aanze kazi lakini naona ananiingiza majaribuni!
Bahada ya kumuonyesha sehemu ya kulala, akaogopa na isitoshe akadai kuna baridi sana ni bora aje alale sebureni kwangu. Alivyolala sebureni kufika usiku akasaula nguo zote eti kuna joto sana!
Mbaya zaidi tangu majuzi nimebanwa na malaria, ndio kakomaa chumbani eti anamuuguza mgonjwa! Sasa hizo touching! unajisikiaje mara unapimwa joto la mwili kifuani, mara kwenye garden love kunapapaswa.
Huyu si anataka ukimuacha akawatangazie watu jamaa si rizki?
Uzalendo ukikushinda ukaonja kitakacho kustopisha ni mimba tena ya zaidi ya miezi sita.Pamba zitakuwa zimeshawekwa masikioni,hapo ndio utatia akili kila nyimbo utaimba lakini wapi,sana sana atakachofanya ni kukimbia halafu baadaye yatakukuta ya Maita(former IGP)
Jibu ni kumwondoa
Mtimue huyo
Unatutangazia kupendwa na housegirl? Kama hukumpa clear terms of reference unategemea nini?
kama hujaonja basi nachelea kusema wewe sio rizki.
Msiwaruhusu ma hg kutumia sabuni za lux, lifebuoy, imperial, give. Hakikisheni wanakogea sabuni za mbuni, za punda na kama hizo.
Hii ni kwa kulinda ndoa zenu. Mwenzenu yamenikuta.
Jamani hii makitu ishapitishwa hukumu yake siku nyingi, Isipokuwa dingi Mtambuzi jana wakati kaleta uzi wake unaohusiana na mambo ya mabeki tatu, akafanya refference tu! Kama unataka kujua huyu beki tatu kaliwa au katimuliwa
Nitafute pande hizi.
showmichael@yahoo.com
Kwenye facebook ni michael scofield Utaona kila kitu live
Topic Closed
Mtimue huyo