Mahousegirl Wengine Mmh!



Ndo maana nikasema hapo juu hizo zote anatupa hadithi za matokeo ya alichofanya
Hapo dada wa watu kashafanyiwa la kufannyiwa tunachoambiwa na mhusika hapo ni matokeo
Aache kudanganya umma wa watu bana
 
Huo ni unyanyasaji.............nakwambi kama umemtamani hata umvishe magunia.............utamtaka tu!...suala la sabuni kutumiwa ni suala la kipato hizo unazoshauri aogee HG ; mie ndo nazitumia na ni nzuri sana kwa afya ya ngozi yangu.............!

Unaonesha hata hg hauna nyumbani.
 

Wengine mtihani dada, wanafanya kusudi kabisa, sasa mtu katoka kukoga, kisha jipaka lux mbadla wa mafuta halafu anakuja na khanga moja (ana time mama hayko karibu) na kkuuliza Mzee, nikuletee kahawa?
 
kama hutaki si umwambie kua hupendi anavyofanya lkn kwa nilivyokusoma hapo tayari tamaa imeshakuingia pole sana mkubwa.
 
Kama wewe ni mkristo mpe neno la biblia,kama ni mwislamu mp neno kutoka koran,kama huna dini mpe maadili yahusuyo mila.
 
sasa kama huna cha kuongea si ukae kimya?.........???????????
 
hadi umefika hapa mitamboni nina imani usharekebisha na KULOWEKA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…