Mahubiri ya leo: Mzee Sitta na Kisa cha nabii mzee

Sikupata bahati hiyo mpwa, kama umeyaona mahubiri hayo na nafasi inakuruhusu hebu yaweke hapa jamvini. Natanguliza shukrani Mpwa.

Mpwa wangu BAK na tpaul mlibahatika kusoma haya mahubiri?
 

Mkuu Elli, ubarikiwe sana kwa neno la ukombozi. Bwana 6 hana tofauti na mke wa Lutu aliyetakiwa kuondoka mji wa Sodoma, mji ulikokuwa umekithiri kwa uzinzi na uasherati, na akaambiwa na Mungu kwamba aondoke straight away bila kuangalia nyuma. Lakini kwa kunogewa na anasa za Sodoma, mke wa Lutu aligeuka nyuma na ghafla akabadilika kuwa mnara wa chumvi (Genesis 19:26). Kwa hivyo basi Bwana 6 asahau kabisa ndoto zake za kuwania urais mwakani na kuna hatari hata ubunge akaukosa. Nafasi finyu iliyokuwa imesalia katika ndoto zake za kuwania urais ndio imegota ukingoni. Mzee huyu ni ‘mtu mzima ovyo' na hafai hata kuwa kiongozi wa kijiji. Kwa kauli zake hizi za kipuuzi, amejimaliza kabisa kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaahahahaahsahahahahahaha kama Zitto
 
Last edited by a moderator:

We si mtu mzima?mpigie simu umwambie,haya uliyoyasema hapa umwambie!yaani unaweka imani yako kwa mtu, eti ametumwa akaiokoe Tanzania kutoka wapi?? Umelaaniwa wewe unayemtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yako!!!! Afu unajifanya nabii wa uongo kuanza kutabiri na kutangaza hukumu wapi na wapi inaelekea umetumwa wewe kuchanganya maandiko! Huyo mzee nani alimtuma? Na wapi kuna maagano ya kutumwa kwake kuiokoa Tanzania??.usitutaabishe hapa kwa kujifanya nabii wa uongo!!!!
 
Je......!!!!! Unajuwa kwamba kifo kiko karibu yako saana kuliko nguo uliyoivaa.....??
 

Mpwa mbona mada ya zamani sana hii? Kojoa ulale bhana acha kutoa povu saa hizi. Huu ni mjadala sio ugomvi bhana
 
 
Watu sampuli ya Elli tutawatambua kwa matendo yenu manabii wa uongo,umevaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni jibwa!!, ha ha ha ha huo unabii wako kautoe Somalia hapa Tz hatukuhitaji umezoea kutapeli watu kwa kuwatabilia uongo msaka tonge mkubwa wewe!
 

Wewe umo kwenye idadi ya manabii wa baari waliouawa na Eliya!
 
This is completely out of context. Nani kahubiri hayo au ni wewe unajifunza kuhubiri. Kama unajifunza basi nikwambie umeanza vibaya. Na kama ni kiongozi wako ndo kahubiri hivyo basi inabidi umuulize Mungu kama hicho alicholinganisha je vinalinganishwa. Kwa kweli hapo kama ni waumini hapo umeyeyushwa ili ujumbe wa uasi kuhusu Katiba Inayopendekezwa upitishwe au upenyezwe. Kama una sababu ya kiteolojia itoa nami nitakupa homiletics. Nakusubiri.
 
Mzee Sitta anakuhusu nini wewe soma Katiba Inayopendekezwa, fuatilia mijadala kwenye vyombo mbali mbali ili ujifunze na uelewe mambo mazuri yaliyomo katika katiba hiyo. Kama una hoja karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…