Mahubiri ya leo: Mzee Sitta na Kisa cha nabii mzee

Mpwa mbona mada ya zamani sana hii? Kojoa ulale bhana acha kutoa povu saa hizi. Huu ni mjadala sio ugomvi bhana
Acha mitusi lete hoja kijana ili tujadili.Umesikia!!!:A S-baby:
 
Je......!!!!! Unajuwa kwamba kifo kiko karibu yako saana kuliko nguo uliyoivaa.....??
Naona wengine inabidi mstaafu mkiwa vijana kwani mnaanza kuwa useless kwenye jukwaa huku mkiwa watoto wadogo. sasa habri za kutishiana kifo zinatoka wapi! :focus:
 
Hahahahaahahahaahsahahahahahaha kama Zitto
Unacheka nini kama sio kupoteza muda watu. Tumia muda huu kujifunza Katiba Inayopendekezwa kwa maana kusoma sina hakika kama unajua kwani ni mtu wa kucheka tu!
 
Sitta ni mnafiki na mzandiki
Uwe na adabu Mzee kama huyo kiongozi wa muda mrefu utamwitaje mnafiki. Mnafiki kama si wewe na mawazo yako. Nakusikitikia ndugu. Angalia ujana wako usiumalize vibaya.
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.

Mtoa mada ni Mgalatia na hakika kuna mtu kamloga huyo haiwezekani atumie maandiko kumsema mtu,si bora amfuate ofisini kwake kwani hapajui!
 
Huu ni uvivu wa kufikiri.shujaa kwa kukusanya maoni upya?shujaa kwa kubadili kanuni? shujaa kwa lipi kutupilia kubali uwajibishwaji wa viongozi wanapokengeuka? Au shujaa kwa kukataa ukomo wa ubunge?

Mara ya mwisho kupiga kura ilikua lini?unakalia mitusi kwa huyo mzee humjui hakujui soma katiba inayopendekezwa then uwe na maamuzi yako usiwe sehemu ya porojo humu ndani!
 

Umerogwa wewe
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.
Duh sikujua kama mada yangu itawatoa jasho kiasi hiki hata hivyo nilipoangalia your joining Date 12th March 2015 na 15th March 2015 basi nimewapa credit ya bure wewe na dada claudiaeliakimu
 
Last edited by a moderator:
Acha mitusi lete hoja kijana ili tujadili.Umesikia!!!:A S-baby:
Mpwa nilite hoja gani nyingine zaidi ya hii niliyoanzisha hapa jukwaani? mimi ndio mwanzilishi wa uzi huu na ambao ni wa muda mrefu kweli sasa sijui hata mmeibukia wapi huko, haya karibuni jamvini.
 
Sitta amewafedhehesha wa Tanzania wengi

Chukua time zako amekufedhehesha mwenyewe!kwani huna maamuzi yako au kuna mtu kayashikiria?subiri tarehe ukajiandikishe then siku ikifika ukapige kura yako uache kulalamika!
 
vitu vingi vinavyotekea vilishatabiriwa kwenye bible sema interpretation ndio hutushinda otherwise tungekuwa tunachukua tahadhali mapema


acha kujilisha upepo, hiyo Biblia ya wapi ikutabirie Katiba yako, tumia akili chukua nafasi yako na ushiriki kikamilifu kutumia haki yako.
 
Mpwa nilite hoja gani nyingine zaidi ya hii niliyoanzisha hapa jukwaani? mimi ndio mwanzilishi wa uzi huu na ambao ni wa muda mrefu kweli sasa sijui hata mmeibukia wapi huko, haya karibuni jamvini.

Tafuta uzi unaohusu elimu yako na uelewa wako juu ya Katiba Inayopendendekezwa!afu tutakusifu sana chalii!!!
 
Duh sikujua kama mada yangu itawatoa jasho kiasi hiki hata hivyo nilipoangalia your joining Date 12th March 2015 na 15th March 2015 basi nimewapa credit ya bure wewe na dada claudiaeliakimu

We dogo tu na hauna madhara tumekushughulisha ukarudi jamvini,hilo la tarehe lisikutie mchecheto angalia mawe yanayoshuka mpaka umetia akili, ulizoea kuleta mada ubwabwa humu ukaishia kusifiwa sasa jipange upya na manabii wenzio wa Baari saa yenu ya kuliwa imefika!! Ha ha ha ha ha
 
hahahahahahhaaaaa jamvini nirudi kutoka wapi nilikokuaga? Hahahahaahaaa Mpwa mie sio wa kihivyo bhana, haya mwenye hekima habishani, bado uzi wangu uko valid sana, wewe changia content ya uzi na sio mimi kwamba umenirudisha au lah! Kama umeni-quote si ni lazima nirudi? au ulitaka nikae kimya Mpwa?
 

Tulinganishie we basi
 
Kelele za chura hizo za wale wanaopinga katiba inayopendekezwa,wengi tumeikubali kwa 100% wewe tu ndio umebaki,jiunge nasi tujenge tanzania mpya kwa kujitokeza kujiandikisha na kupiga kura ya ndio ili tupate katiba mpya,karibu ujiunge na watanzania wote kupiga kura ya ndio,pamoja tunaweza
 
Yametimia mandiko MANI zumbemkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…