Mahubiri ya leo: Mzee Sitta na Kisa cha nabii mzee

Historia inaoenyesha mara nyingi unabii huwa unapuuzwa unapotolewa, lakini unapokamilika huja na majuto makuu
 
Unacheka nini kama sio kupoteza muda watu. Tumia muda huu kujifunza Katiba Inayopendekezwa kwa maana kusoma sina hakika kama unajua kwani ni mtu wa kucheka tu!
Hakika hakuna neno lililodondoka katika unabii huu
 
Reactions: BAK
Unabii huu ulitimia kama ilivyoandikwa, ahlikupunguzwa wala kuongezwa neno katika unabii huu. BAK MANI zumbemkuu tpaul assadsyria3 Chakaza laki si pesa. Mod 1

Sasa kuna ule unabii wa uliotolewa kwa njia ya Ndoto......Nani anaukumbuka??
Magamba waliambiwa tangu zamani kwamba nchi hii wanaiuza kama njugu wakakaidi ndio wanakuja kukumbuka shuka leo asubuhi wakati usiku umeikwisha. Shame on all gambaz!
 
Kasome theolojia kisha uanze kuhubiri kama akina mzee wa upako huku hayo hayapo! Tueleze historia za kiutawala tutakusikiliza na kukupongeza. By the way SItta ni shujaa!
Pamoja na kwamba sikusoma theolojia lakini nasikitika kusema kuwa yalitimia
 
Ndivyo ilivyotokea kadiri ya mapenzi yako
 
DAH, watabiri wa kitanzania kiboko,kweli mzee hakufika nchi ya ahadi akafia ugenini du!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…