ha ha ha mkuuhilo lilikuwa Kosa la kwanza. Kosa la pili... Mashindano yanaenda sambamba na TPL... SIMBA yupo njiani kwenda Tanga, Azam anaanza safari ya Mtwara... Yanga Sijui wapi... Watu attention kwa timu zao!
Huu ndio msimu wa midterm holiday kwa primary & sec sch, so wangejipanga kusomba wanafunzi Kutoka mashule ya DSM, Bagamoyo, Kisarawe, Kibaha n.k na kuwapeleka viwanjani na kuwarudisha... Bureee!
Ni ngumu sana kwa watu Wazima wenye Mapenzi na soka... Wakaacha kuangalia TPL za timu zao... wakaangalie madogo wa U17!
serious Mkuu... South Africa Ktk WC 2010 iliwapata aibu hii.... Tena kwao ilikuwa mby zaidi coz ilikuwa ni WC yenyewe... Wasouth Africa walikuwa wanajaa ikicheza Bafana Bafana tu..... Na Wao km sisi... Fasta wakaanza kuingiza watoto wa shule kwenye games za mataifa Mengine!ha ha ha mkuu
tuanzie hapo kwenye TPL, kwahiyo mzee ulikuwa una suggest ligi isimame au vipi??hilo lilikuwa Kosa la kwanza. Kosa la pili... Mashindano yanaenda sambamba na TPL... SIMBA yupo njiani kwenda Tanga, Azam anaanza safari ya Mtwara... Yanga Sijui wapi... Watu attention kwa timu zao!
Huu ndio msimu wa midterm holiday kwa primary & sec sch, so wangejipanga kusomba wanafunzi Kutoka mashule ya DSM, Bagamoyo, Kisarawe, Kibaha n.k na kuwapeleka viwanjani na kuwarudisha... Bureee!
Ni ngumu sana kwa watu Wazima wenye Mapenzi na soka... Wakaacha kuangalia TPL za timu zao... wakaangalie madogo wa U17!
Walijisahau wakafikiri ni game ya AFCON kama ya UG cranes vs Taifa [emoji93] ya mwisho ile....bila kujua hii ni UMISETA Kama unavosema[emoji3], uchumi sio mzuri au kwa kua wao hawalipagi viingilioNingeshangaa sana kama kungekuwa na kiingilio.
Kiingilio kwenye UMITASHUMTA/ UMISETA?
Slim 5 , hii ya kusomba na malori sisi tunaiweza wakati wa kila baada ya miaka dala dala,...ilikua 2015 jumlisha tano hapo ndio tusubir, hizi ni specialization za watu for public image. Ila umesema kweli wale watu wangetafutwa mapema wangewasaidia....na isitoshe kama game ya Nigeria uwanja ungejaza na amsha amsha tungetoboahilo lilikuwa Kosa la kwanza. Kosa la pili... Mashindano yanaenda sambamba na TPL... SIMBA yupo njiani kwenda Tanga, Azam anaanza safari ya Mtwara... Yanga Sijui wapi... Watu attention kwa timu zao!
Huu ndio msimu wa midterm holiday kwa primary & sec sch, so wangejipanga kusomba wanafunzi Kutoka mashule ya DSM, Bagamoyo, Kisarawe, Kibaha n.k na kuwapeleka viwanjani na kuwarudisha... Bureee!
Ni ngumu sana kwa watu Wazima wenye Mapenzi na soka... Wakaacha kuangalia TPL za timu zao... wakaangalie madogo wa U17!