Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukiona mtu anapinga mahusiano, jiulize mara mbili mbili ana tatizo gani?
Kwa sababu haya mambo yanaongozwa na hisia; hata wewe unapopata hisia na mtu fulani lazima umfungukie, huo ndio uhalisia wa binadamu halisi.
Mambo ya kuzidiana umri tunaweka pembeni.
Kwa sababu haya mambo yanaongozwa na hisia; hata wewe unapopata hisia na mtu fulani lazima umfungukie, huo ndio uhalisia wa binadamu halisi.
Mambo ya kuzidiana umri tunaweka pembeni.