Mahusiano hayachagui umri

Mahusiano hayachagui umri

Acha kupotosha watu. Kama wewe Ni kibenten endelea na ujinga wako peke yako. Ukiona kijana wa kiume anatembea na mmama aliyemzidi miaka kumi, hapo hakuna hisia Wala nini, Ni umaskini wa fikra kwa mwanamke na umaskini wa kifedha kwa kijana.
Oy mbn mm napendelea zaidi mishangazi kunyanduana nayo tu sabab I feel different na vile ninavyokua nasex na mabinti wadogo,

Sijawahi waza kuhongwa na mishangazi yangu kiukweli lbd pale wanapojskia wenyewe kunioffer vizawad zawad vya hp na pale

Raha yng Ku***ba tu watu walionizid umri that's my addiction ooh [emoji41]
 
Wabongo kwa kuendekeza ngono na mapenzi wako vizuri, hii nguvu na ari wangekua nayo kwa mambo mengine Taifa lingekua mbali sana.

Mahusiano ya kimapenzi sio lazima, na kuna maisha nje ya hayo.
Mkuu toa hiyo avatar kwanza ndio ukoment🤣
 
Oy mbn mm napendelea zaidi mishangazi kunyanduana nayo tu sabab I feel different na vile ninavyokua nasex na mabinti wadogo,

Sijawahi waza kuhongwa na mishangazi yangu kiukweli lbd pale wanapojskia wenyewe kunioffer vizawad zawad vya hp na pale

Raha yng Ku***ba tu watu walionizid umri that's my addiction ooh [emoji41]
Swali moja tu kwako.
Utaoa mshangazi au mdada?
 
Mahusiano lazima yazingatie umri mfano

1 Vijana wawili wakioana hata mambo wanayofikiria yanakaribia kuendana asilimia 99.Wote wanawaza kujenga nyumba au kupata watoto.

2 Sex drive ya watu ambao hawajaachana umri Sana ni sawa.Mfano Amina 24 na Maxwell 29.
 
Back
Top Bottom