Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwa umri huo bora afurahie maisha, kwa sababu hata akiwa na viwanja hatoenda navyo mbinguni.Hiyo picha ni ya 1900, babu yako anakamatia kiuno wakati wenzake wanakamatia viwanja
Mzee amekamatia kuzidi hata vijanaHayanaga umuri
Gari limezimia kwenye kilima πMzee amekamatia kuzidi ata vijana
Bora uwaambie ukweliAcha kupotosha watu. Kama wewe Ni kibenten endelea na ujinga wako peke yako. Ukiona kijana wa kiume anatembea na mmama aliyemzidi miaka kumi, hapo hakuna hisia Wala nini, Ni umaskini wa fikra kwa mwanamke na umaskini wa kifedha kwa kijana.
Hivi wewe kumbe sio m'bongoWabongo kwa kuendekeza ngono na mapenzi wako vizuri, hii nguvu na ari wangekua nayo kwa mambo mengine Taifa lingekua mbali sana.
Mahusiano ya kimapenzi sio lazima, na kuna maisha nje ya hayo.
ππ Na hayachagui kimo pia yaan mdada tall asiogope kuolewa na kijana mfupiUkiona mtu anapinga mahusiano, jiulize mara mbili mbili ana tatizo gani?
Kwa sababu haya mambo yanaongozwa na hisia; hata wewe unapopata hisia na mtu fulani lazima umfungukie, huo ndio uhalisia wa binadamu halisi.
Mambo ya kuzidiana umri tunaweka pembeni.
View attachment 2747315
Mafao yanatafutwaBabu anawindwa ila hajui tu
πππBabu anasimamia ukucha! Lakini kwa angle ninavyoiona mashine haiwezi ingia njia kuu labda 0712 π€£π€£π€£π€£π€£
Rejea ufaransaAcha kupotosha watu. Kama wewe Ni kibenten endelea na ujinga wako peke yako. Ukiona kijana wa kiume anatembea na mmama aliyemzidi miaka kumi, hapo hakuna hisia Wala nini, Ni umaskini wa fikra kwa mwanamke na umaskini wa kifedha kwa kijana.
Rejea ufaransaBora uwaambie ukweli
Tufanyeje ili tuweze kuchimba mafuta tuweze kuwauzia nchi za Ulaya na Marekani ili tupate fedha za kigeni?Wabongo kwa kuendekeza ngono na mapenzi wako vizuri, hii nguvu na ari wangekua nayo kwa mambo mengine Taifa lingekua mbali sana.
Mahusiano ya kimapenzi sio lazima, na kuna maisha nje ya hayo.
Tatizo wanawadharau sana watu wafupiππ Na hayachagui kimo pia yaan mdada tall asiogope kuolewa na kijana mfupi
Naunga mkono hoja.Wabongo kwa kuendekeza ngono na mapenzi wako vizuri, hii nguvu na ari wangekua nayo kwa mambo mengine Taifa lingekua mbali sana.
Mahusiano ya kimapenzi sio lazima, na kuna maisha nje ya hayo.