Mahusiano kati ya KIFO na USINGIZI

Mahusiano kati ya KIFO na USINGIZI

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Kuna imani ya dini inayosema USINGIZI NI NUSU YA KIFO.

Mtu anapokuwa usingizi anakuwa amekata mawasiliano yake mengi katika ulimwengu wa kawaida.
hali yakuwa usingizi humfanya mtu kuingia ulimwengu wa ndoto na kuyaona yale ambayo hayaonekani katika uhai wa kuwa macho ama nje ya usingizi.

Mwanadamu anapotoka usingizi anaweza kuwa katika hali ya choka na hata wengine huamka hali ya kuwa wamekunja sura.

Imani za dini zinatuambia kuwa watu watafufuliwa katika njia tofauti. JE, NJIA HIZO ZINA MAHUSIANO GANI NA SI KUTOKA USINGIZINI?

Vipi wanadamu wanajiandaa na kifo kabla ya kufa na kufufuliwa.

SOMA PIA:

Usiku wa manane (saa 9 hadi saa 10 alfajiri) ndio wagonjwa wengi mahututi hufariki

Usingizi maana yake nini? Kwanini viumbe hai husinzia?

Kifo ni Ndoto Endelevu ya Milele
 
Kama kulala kuna raha kwako basi kufa ni zaidi. Watu wanaowalilia sana watu waliokufa hawajui tu watendalo. Watu waliokufa wanapata starehe zaidi ya wale waliolala usingizi na waliokula au kuwekewa dawa za usingizi.

Tabu kubwa ya kufa ni kwa wale waliokuwa wanakutegemea ambao ulikuwa ukihangaikia usiku na mchana, juani na kwenye mvua, porini na mjini, kwenye joto na baridi ili waione kesho yao. Ukifa watalia kwakuwa jembe na ghala lao limetoweka milele.

Ni watu wachache sana ambao wameugundua na wanaufahamu uraibu Wa kifo na wametafutiwa majina mbalimbali. Kuishi miaka 100 ni mateso watu hawajui tu. Watu wema na wanaojipenda kama Bw. Yesu na Mohammed SAW hawezi kutamani waishi miaka mingi.

Kama unapenda sana kulala upe de na kufa pia.
 
mkuu huo uzoefu umeutoa wapi?
Piga hesabu zako tu utangundua ubora na raha ya kufa mapema. Sehemu walioko mitume na manabii kuna ubaya gani? Mwangalie babu yako na mkongojo ana raha gani, angalia machinga wana raha gani, ona wakulima wa jembe wana raha ipi, ona Dada zetu, wasanii, wachimbaji, askari, nk.

Kila MTU anapenda kulala usingizi mzuri usio na bughudha kwanini?
 
Piga hesabu zako tu utangundua ubora na raha ya kufa mapema. Sehemu walioko mitume na manabii kuna ubaya gani? Mwangalie babu yako na mkongojo ana raha gani, angalia machinga wana raha gani, ona wakulima wa jembe wana raha ipi, ona Dada zetu, wasanii, wachimbaji, askari, nk.

Kila MTU anapenda kulala usingizi mzuri usio na bughudha kwanini?
mkuu ume`panic flani..
 
Dah leo ndo nimegundua kufa ilivo starehe sitaogopa kufa tena naomba nife tu
 
Idadi kubwa ya wanaojiiua wanafanya hivyo kwa kukimbia shida za kuishi, na hata wanaojilipua wanaijua siri ya kifo, hata wavumbuzi mbalimbali hawaogopi kifo ndiyo maana wanamudu kwenda hata kwenye mwezi na anga za juu. Kwao kufa ni starehe kama starehe nyingine.
 
Kuna imani ya dini inayosema USINGIZI NI NUSU YA KIFO.

Mtu anapokuwa usingizi anakuwa amekata mawasiliano yake mengi katika ulimwengu wa kawaida.
hali yakuwa usingizi humfanya mtu kuingia ulimwengu wa ndoto na kuyaona yale ambayo hayaonekani katika uhai wa kuwa macho ama nje ya usingizi.

Mwanadamu anapotoka usingizi anaweza kuwa katika hali ya choka na hata wengine huamka hali ya kuwa wamekunja sura.

Imani za dini zinatuambia kuwa watu watafufuliwa katika njia tofauti. JE, NJIA HIZO ZINA MAHUSIANO GANI NA SI KUTOKA USINGIZINI?

Vipi wanadamu wanajiandaa na kifo kabla ya kufa na kufufuliwa.

SOMA PIA:

Usiku wa manane (saa 9 hadi saa 10 alfajiri) ndio wagonjwa wengi mahututi hufariki

Usingizi maana yake nini? Kwanini viumbe hai husinzia?

Kifo ni Ndoto Endelevu ya Milele
Tofauti ya kifo na usingizi ni kwamba ukilala bado una pumzi yako.
 
Kifo ni kitu kizuri na cha thamani kuliko vitu vyote vinavyotambulika na wanadamu
 
Nyie ongeeni tu siku mkitaka kufa msije kutulilia hapa ooooh Daktar kasema imebak miez minne
Itakuwa hivyo kama huna uhakika wanaokutegemea wataishije. Kufa ni raha kwako na mazingira. Mazingira yanatamani watu wote wafe ili warudishie udongo rutuba na misitu irudi.
 
Jambo la msingi katika kufa ni ulikufaje na kwasababu gani na umeacha nini cha kukumbukwa au kuwafaa waliobaki hai uliowaacha.
 
Back
Top Bottom