Mahusiano miaka 10 hata harufu ya engagement ring hamna na Bado upo tu

Mahusiano miaka 10 hata harufu ya engagement ring hamna na Bado upo tu

American Dream

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2022
Posts
313
Reaction score
352
Hello Wadau!!

Huu ujumbe kwa waleee wanajijua wenyewe nasubiri comments zenu za makasiriko.

Yani mpo kwa relationship Toka upo chuo ulivyokuwa na 22 Hadi Leo uko na 32 na eti wamsubiria mtu.

Ikifika weekend huyoo kwenda kupika, kufua nguo na kusafisha mazingira ya kwa msela Ili uonekane wife material.

Bado mnachunguzana kama kesi za jinai.

Move on muda unaenda.

Uzi tayari 🔨
 

Attachments

  • still-waiting-.jpg
    still-waiting-.jpg
    9.2 KB · Views: 16
Mahusiano miaka 10 engagement mwaka 1 ndoa inakufa baada ya miezi 6 au mtoto wa kwanza
 
Hello Wadau!!

Huu ujumbe kwa waleee wanajijua wenyewe nasubiri comments zenu za makasiriko.

Yani mpo kwa relationship Toka upo chuo ulivyokuwa na 22 Hadi Leo uko na 32 na eti wamsubiria mtu.

Ikifika weekend huyoo kwenda kupika,kufua nguo na kusafisha mazingira ya kwa msela Ili uonekane wife material.

Bado mnachunguzana kama kesi za jinai.

Move on muda unaenda.

Uzi tayari [emoji375]
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Hizi habari za kwamba kila mtu anataka au anatakiwa kuoa au kuolewa in the conventional way ni aina fulani ya ujima.
 
Back
Top Bottom