American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Hujakutana na church galsHamna kitu kama hicho.
Hivi ni kwanini hii?Mahusiano miaka 10 engagement mwaka 1 ndoa inakufa baada ya miezi 6 au mtoto wa kwanza
Hajui mambo yamebadilika siku hiziHuu ujinga walishaacha...
Saivi ni pesa tu wanataka..
Hao juu walikuwa wanaishi pamoja, Mimi nazun
Huwajui church gals alafu kina wengine wanakuwaga na ujinga Fulani hivi Yani automatically she is hanging there and at the same time mdogo wake anaemfuatia Ako na familia yake yeye ni homegal nyumbani kwa wazeeHajui mambo yamebadilika siku hizi
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.Hello Wadau!!
Huu ujumbe kwa waleee wanajijua wenyewe nasubiri comments zenu za makasiriko.
Yani mpo kwa relationship Toka upo chuo ulivyokuwa na 22 Hadi Leo uko na 32 na eti wamsubiria mtu.
Ikifika weekend huyoo kwenda kupika,kufua nguo na kusafisha mazingira ya kwa msela Ili uonekane wife material.
Bado mnachunguzana kama kesi za jinai.
Move on muda unaenda.
Uzi tayari [emoji375]