Mahusiano na dada wa kambo

Kula huyo tena Oa haraka iwezekanavyo. Hamna hata chembe ya damu mnayohusiana.

Na hiyo ndoa itadumu mpaka mnazikana. Maana baba yake ndo anakuwa baba mkwe na mama yako anakuwa mama mkwe kwake. Wazazi watahakikisha ndoa yenu inadumu.

Haya nimeya experience kwa marafiki zangu wa kiarabu. Wagombane watavyogombana wazazi lazma waingilie kati kusuluhisha
 
Huyo huna undugu naye, na uzuri baba yako na mama yako walishaachana. Mimi nakushauri umuoe.

Hata ukipata mwanamke mwingine, huwezi kufahamu wazazi wake either walikuwa na uhusiano gani na wa kwako huko nyuma.

Ukiachana na baba yako aliyezaa na mama, bado njiani tunapishana na wengi waliowahi kuwa na mahusiano na mama huko nyuma bila kujua.
 
Hizi case zipo kwa wengi tu ata usijipe stress we endelea kula,, watu tushapeana na mimba hivi sasa mimba ina miezi 3 na wote tumeridhia tupate mtoto na ndo anakuja
 
Nimeona binamu hao first cousins wanalalana na kuzaa kabisa na familia zimebariki.. Labda na kitambika kutokana na sijui wapi wanatoka waitambika

Sasa wewe tena mbona hakuna tatizo.. Wazazi watafurahia si mnasema mmeanza wao walipoachana ndio mnazoeana mka pendana ila semeni hamjatenda la ku do bali busuu tu.. Au umuweke mimba kabisa.. Tatizo watu mmm hama mji basi

Maneno machache na kuficha ukweli uleta mengi memaaaaa maishani na kuishi kwa Amani
 
Ni sawa na kulala na baba yako mzazi. LAANA
 
Kinachofanya muendelee kupendana Ni huo usiri, mkitaka kuachana weka wazi mahusiano ndipo mtaachana na hakuna atakae mtafuta mwenzake. Mkate unaoliwa kwa Siri Ni mtamu.
 
Huyo sio ndugu yako... Ao. Tena kwa kujiamini. Mwenye shida na aliyeingilia mahusiano yenu ni baba yako wa kufikia. Yeye ndo atakayeona haya kuwa na mahusiano na mama yako.
 
Kwahyo ukilelewa na binamu yako nyumba Moja huruhusiwi kuoa?eti Kwa sababu umelelewa na shangazi au mjomba wako?

Kulelewa pamoja na dada wa kambo hakukupi uharamu wa kuoa..
 
Mtoto wa shangazi hauna nasaba nae,maana ye amezaliwa na koo ya baba mwingine,nadhani nasaba ipo kwa baba.
Nasaba ipi wakati baba wa kambo amekuja toka alipotoka na watoto ambao hata mama zao huwajuwi?
Piga hyo kitu mkuu wacha woga aisee
 
Nasaba ipi wakati baba wa kambo amekuja toka alipotoka na watoto ambao hata mama zao huwajuwi?
Piga hyo kitu mkuu wacha woga aisee
Mleta mada sio mimi mkuu,mimi sheikh sio mpenzi wa "k
 
Huyo sio ndugu yako wa damu ni kama jirani ambaye mlijaliana kama ndugu sababu ya wazazi wenu kuwa pamoja.

Mtafute mi amor wako huyo a.k.a soulmate. Mtafute muanze kuishi pamoja destiny imeshaamua muwe pamoja kila mkibishana nayo inawakatalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…