HideYoKids
Member
- Jan 11, 2025
- 52
- 72
- Thread starter
-
- #61
Yaani we acha tu just imagine toka tuna miaka 17 .Mapenzi kajifunzia kwangu na mimi mapenzi nimejifunzia kwake. Mwanzo tulikuwa tunafurahia mchezo tukasema tutaachaPenzi la kificho huwa ni tamu kama nawaona[emoji23][emoji1787]
Ni kweli Tupo kwenye denial . Halafu hii siri inanitafuna sina mtu wa kuzungumzia naye kuhusu hili ili huku ni kama safe space hakuna anayenijua nikimwadithia rafiki nitaonekana wa ajabu sanaHadi kulileta huku, means nafsi zenu ziwasuta na hamna amani. Sasa ya nini kung'ang'ana!!
Ipo ndio kama hivyo tumependana na tumeshindwa kuwa na mahusiano na watu wengineKama Mlianza Tangu Mna Miaka 17 Hadi Sasa There's any Cost Till Now??
Hakuna kosa kumpenda dada wa kambo na unaweza kumuoa bila kikwazo,msijiumize bure halalisheni uhusiano wenu,mie nipo tayari kuwa mshenga wako,iwapo utapendaHabari wa ndugu, Heri ya mwaka mpya natumaini wazima ,
Nimekuja na hii mada sio kwa lengo la kujisifia au kutangaza dhambi ya zinaa ninazofanya nimekuja na huu uzi sababu nahitaji ushauri pengine msaada wa kimawazo maana nahisi sio kawaida
Nisikuchoshe nipunguze maneno ni hivi kipindi nipo sekondari mama aliachana na baba baada ya kipindi kupita akaolewa tena na huyo mume aliyemuoa alikuwa ana binti yake alizaa na mwanamke mwengine mimi na mama wote tuliamia kwenye familia hiyo ambapo ni baba anaishi na binti yake makamu yangu hata kidato tulikuwa kimoja, Sasa sijui kuishi ndugu wawili wakike na wakiume wasio wa damu inachangia au shetani au ni tamaa zetu mbovu tulijikuta mimi na huyo binti ambaye ni dada yangu wa kambo tunaingia kwenye mchezo mchafu.
Tulifanya kwa siri . Kipindi wazazi walikuwa hawapo tulikuwa tunafanya mapenzi sana saa nyingine binti ananyata usiku anakuja chumbani kwangu saa nyengine naenda chumbani kwake saa nyengine sebuleni ikawa ndio michezo yetu mpka tukanogewa tukajikuta tunapendana maana hizi constant casual sex na mtu mmoja lazima mcatch feelings . So ikaenda ikaenda ye akapata mahusiano mapya na mimi pia lakini bado roho zetu hazikuridhika ilibidi dada yangu aachane na mtu wake na alikuwa na wivu na mimi na hakutaka kujihusisha na mahusiano ikafikia kipindi nikaenda chuo na yeye mkoa tofauti bado tukawa tunafatana kitendo cha mimi na yeye kuwa mbali kinatuumiza moyo in short tunapendana sana
Mama yangu hakufanikiwa kuzaa na huyo baba wa kambo na walikuja kuachana lakini sisi hatukuacha mawasiliano na mahusiano wote tumekuwa na mahusiano na watu mbalimbali lakini tumeshindwa maana kila mmoja moyo wake yupo kwa mwenzake .sasa tunajitegemea kila mtu yupo kwake lakini tumeshindwa kuachana
Natamani kumuoa lakini alikuwa dada yangu wa kambo na tayari baba yake alishaachana na mama yangu natamani tusipendane lakini tunashindwa , mahusiano yetu ya siri toka tuna miaka 17 na sasa ni watu wazima jamii itanichukuliaje ikijua ?nifanye nini nimsahau? nimchukie au pengine tunahitaji msaada wa kisaikolojia hata sielewi maana wote tulipanga tuachane lakini imeshindikana sometimes najuta kwa nini nilikutana naye au kwa nini mama yangu alikubali kuolewa na baba yake .
Natamani nimkimbie nibadili mawasiliano lakini atafanya juu atanipata saa nyengine nashindwa kujificha kuna kipindi tuliachana tulishindwa maana tulikuwa katika hali mbaya sana kiufupi tunapendana sana na tunatamani uhusiano wetu uwe wazi tuoane lakini ndio hivyo sio sawa katika jamii.
Ni hayo tu samahani kwa ambao bandiko hili litawakwaza
Unaandika kwa hamasa kweli kweli huku boro limedinda, lakini ukiambiwa ukokotoe GDP ya nchi unatimua mbio huku umefyata makalio.Mshakulana sanaa sanaa tena sanaa yan sanaa haha af kuoa unaona so, we mtaftie bimkubwa gia ya kumwambia akikubali oa make sio biological sister
Ngoja tuone mkuu hisia zangu zikidi akili nitajua nafanya niniMuoe kwani ndoa ni ya wawili. Pia nyie sio ndugu. Ila ndio vizuri umelipiza kisasi cha baba yako usikute uyo Jamaa ndio sababu ya baba yako kuachwa na mama yako.
Mimi kwakweli siwalaumu kabisa mapenzi ni upuuzi mno dah Muombeni tu Mungu awasaidieYaani we acha tu just imagine toka tuna miaka 17 .Mapenzi kajifunzia kwangu na mimi mapenzi nimejifunzia kwake. Mwanzo tulikuwa tunafurahia mchezo tukasema tutaacha
Baadaye ndio hivyo hisia zikajiingiza. Tulijaribu kuwa na mahusiano tofauti tukashindwa maana tulianza kuoneana na wivu na kuumia tu
Sawa kiongozi [emoji120]. Pengine nahisi pia nahitaji msaada wa kisaikolojia.Kimaadili si sawa na si sawa hata mbele za Mungu pia, maisha mliyoishi hayakua sahihi na ndio maana mlifanya siri. Pia hujui kwa nini mama yako aliachana na huyo baba yako wa kambo. In short mahusiano hayo ni batili mbele ya Wazazi wenu, Mbele ya Jamii na Mbele za Mungu pia. Sitisha haraka sana na upate msaada wa kiroho kwa watumishi wa Mungu maana hiyo inaweza kuja kuwa sababu ya laana kwa maisha yako na watoto wako baadae.
sumu ya penzi ukishailamba hata kwa maziwa huwezi kupona...Ni kweli lakini huyo sio mwanamke wa kawaida ni dada wa kambo
Kama wanapendana waoane tu, kwanza mpaka hapo tayari washaoana.Hilo suala wazazi wenu hawatakuwa tayari.
Baba wa huyo dada yako alikulea kama mtoto wake, namama yako akamlea huyo binti kama mwanae, hii mnaleta aibu kwa wazazi wenu na jamii nzima.
Usije kushangaa wazazi wakawalaani mkijifanya mnapendana sana na kutowasikiliza.
Kama mtaendelea kulana kimasikhara endeleeni ila suala la kuoa, utamfanya mama yako akuone ni mtoto mjinga na huna akili.
Tayari Mna Mahusiano Tangu Na Tangu Mnahitaji Mahusiano Na Watu Wengine Ya Kazi Gani??Boresheni Mahusiano Yenu Yenye Muunganiko Murua Na Historia za kuupa Moyo Furaha Na Amani Kila Mnapofanikiwa Kuwa Pamoja,,Let Love Lead,,,Msijibane Nyie Si Ndugu,,Ipeni Na Ionyesheni Dunia Pendo Lenu Lilivyomea Kwa Huba Na Hisia Bora Za Mapenzi.Ipo ndio kama hivyo tumependana na tumeshindwa kuwa na mahusiano na watu wengine
Mhhhh!!Kama wanapendana waoane tu, kwanza mpaka hapo tayari washaoana.
Hili ni wazo zuri lakini kusubiri mpaka mzazi afe na umri ndio hivyo unakwenda je wasipotangulia nikifa mimiSubirini wazazi wenu wafariki hafu muoane
Sio kuoana tu, mfano nikuulize, wewe utakubali rafiki yako wa karibu aje kuoa mke wako uliye achana nae na umeishi nae kwa miaka na mlipata mtoto? kwa sababu mliachana na hakuna mahusiano ni sawa rafiki yako wa karibu aoe x wife wako? na je? utabariki hio ndoa pasipo shingo upande?Kama wanapendana waoane tu, kwanza mpaka hapo tayari washaoana.
Pakishakua na hisia kati yenu mambo ndio yanakuwa magumu . Maana mapenzi ni zaidi ya sex na ukishapenda sex sio kitu kuwa naye tu inatoshaEndelea kuichapa usiku na mchana
View attachment 3198430
Yaani pamoja na kuandika huu uzi sipo tayari kumuacha na yeye hayupo tayari kuniacha mzani wa maoni ukizidi upande wangu sitajali chochote nitafanya nilichokusudiaHakuna kosa kumpenda dada wa kambo na unaweza kumuoa bila kikwazo,msijiumize bure halalisheni uhusiano wenu,mie nipo tayari kuwa mshenga wako,iwapo utapenda
Kwa mila za kiafrika hakuna dosari,muoane haraka,hiyo ndio destiny yenu,ni Mola ndio kawakutanishaYaani pamoja na kuandika huu uzi sipo tayari kumuacha na yeye hayupo tayari kuniacha mzani wa maoni ukizidi upande wangu sitajali chochote nitafanya nilichokusudia
Nipo kwenye denial mkuu na maoni ya huu uzi ukichanganya na hisia zangu mda si mrefu nitapata ujasiri wa kufanya kile ninachokusudia
Ni kweli . Natamani ningepata wengi wakunipa maneno haya ya ukweli na uchungu maana hata kwa akili ya kawaida mahusiano yangu sio sawa kuendelea kuyaamini nazidi kujiumizaNdugu..jitahidi kuweka hisia pembeni - wewe hasa kama mwanamme. Yaani baba yake kamlala mama yako, na wewe unamlala mtoto wake..jamani...Hizi ny-e-g mshindo vipi?? Ukiona unafanya kitu lkn huna amani au unawasiwasi mpaka unaanza kuuliza watu ujue tayari nafsi yako iliishakuambia sio sawa - tii hiyo sauti...utamletea aibu mama yako....