Mahusiano na dada wa kambo

Yakobo alioa Binamu zake, hiyo ya kwako na Ya Yakobo ipi mbaya zaidi?
 
Nenda kwa baba yako wa kambo akikuuliza imekuaje mwambie niliwasiliana na fulani akanambia hadi sasa hajaolewa na mimi pia sijaoa nikamuuliza kama yupo tayari tuoane sababu tunajuana tangu wadogo na tumekuzwa na wazazi wenye maadili mazuri, akakubali ndio nimekuja kwako mzee kupata baraka zako, easy tu,
Unaweza kwenda na mzee mmoja wa busara akusaidie kumpanga mshua
 
Sasa hapo unakua hujaachana nae.
Kama umeachana nae ana uhuru wa kua na yeyote.

Wazazi hawatakubali ila haitaondoa ukweli kua wanapendana na wameshanjunjana.
 
Sasa hapo unakua hujaachana nae.
Kama umeachana nae ana uhuru wa kua na yeyote.

Wazazi hawatakubali ila haitaondoa ukweli kua wanapendana na wameshanjunjana.
Kwa hio utaruhusu ex mkeo aolewe na rafiki yako wa karibu na urafiki wenu ukaendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…