Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ni heri muachane na hiyo issue.
Mkioana tu familia zenu zitavurugika na kila kitu kitatawanyika
Mkioana tu familia zenu zitavurugika na kila kitu kitatawanyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni sawa na mwanangu,usisubiri maoni ya watu na usiongozwe na maoni ya watu,ongozwa na hisia zakoNi kweli . Natamani ningepata wengi wakunipa maneno haya ya ukweli na uchungu maana hata kwa akili ya kawaida mahusiano yangu sio sawa kuendelea kuyaamini nazidi kujiumiza
Kama mnapendana na mna good understandingHabari wa ndugu, Heri ya mwaka mpya natumaini wazima ,
Nimekuja na hii mada sio kwa lengo la kujisifia au kutangaza dhambi ya zinaa ninazofanya nimekuja na huu uzi sababu nahitaji ushauri pengine msaada wa kimawazo maana nahisi sio kawaida
Nisikuchoshe nipunguze maneno ni hivi kipindi nipo sekondari mama aliachana na baba baada ya kipindi kupita akaolewa tena na huyo mume aliyemuoa alikuwa ana binti yake alizaa na mwanamke mwengine mimi na mama wote tuliamia kwenye familia hiyo ambapo ni baba anaishi na binti yake makamu yangu hata kidato tulikuwa kimoja, Sasa sijui kuishi ndugu wawili wakike na wakiume wasio wa damu inachangia au shetani au ni tamaa zetu mbovu tulijikuta mimi na huyo binti ambaye ni dada yangu wa kambo tunaingia kwenye mchezo mchafu.
Tulifanya kwa siri . Kipindi wazazi walikuwa hawapo tulikuwa tunafanya mapenzi sana saa nyingine binti ananyata usiku anakuja chumbani kwangu saa nyengine naenda chumbani kwake saa nyengine sebuleni ikawa ndio michezo yetu mpka tukanogewa tukajikuta tunapendana maana hizi constant casual sex na mtu mmoja lazima mcatch feelings . So ikaenda ikaenda ye akapata mahusiano mapya na mimi pia lakini bado roho zetu hazikuridhika ilibidi dada yangu aachane na mtu wake na alikuwa na wivu na mimi na hakutaka kujihusisha na mahusiano ikafikia kipindi nikaenda chuo na yeye mkoa tofauti bado tukawa tunafatana kitendo cha mimi na yeye kuwa mbali kinatuumiza moyo in short tunapendana sana
Mama yangu hakufanikiwa kuzaa na huyo baba wa kambo na walikuja kuachana lakini sisi hatukuacha mawasiliano na mahusiano wote tumekuwa na mahusiano na watu mbalimbali lakini tumeshindwa maana kila mmoja moyo wake yupo kwa mwenzake .sasa tunajitegemea kila mtu yupo kwake lakini tumeshindwa kuachana
Natamani kumuoa lakini alikuwa dada yangu wa kambo na tayari baba yake alishaachana na mama yangu natamani tusipendane lakini tunashindwa , mahusiano yetu ya siri toka tuna miaka 17 na sasa ni watu wazima jamii itanichukuliaje ikijua ?nifanye nini nimsahau? nimchukie au pengine tunahitaji msaada wa kisaikolojia hata sielewi maana wote tulipanga tuachane lakini imeshindikana sometimes najuta kwa nini nilikutana naye au kwa nini mama yangu alikubali kuolewa na baba yake .
Natamani nimkimbie nibadili mawasiliano lakini atafanya juu atanipata saa nyengine nashindwa kujificha kuna kipindi tuliachana tulishindwa maana tulikuwa katika hali mbaya sana kiufupi tunapendana sana na tunatamani uhusiano wetu uwe wazi tuoane lakini ndio hivyo sio sawa katika jamii.
Ni hayo tu samahani kwa ambao bandiko hili litawakwaza
Hizo "mila za kiafrika" zimeandikwa wapi nikazisome?Kwa mila za kiafrika hakuna dosari, muoane haraka
Labda kama hujaenda shule,mila za miafrika hazijaandikwa popote,bali ni hazina ya kimapokeo ambayo huhamishwa enzi na enzi kwa hadithi za wazee wetuHizo "mila za kiafrika" zimeandikwa wapi nikazisome?
Kumbe ni mambo ya hadithi tu?mila za miafrika hazijaandikwa popote, bali ni hazina ya kimapokeo ambayo huhamishwa enzi na enzi kwa hadithi za wazee wetu
Mtaachana Tuu.Nina bahati mbaya kukutana naye pengine nisingekuwa katika hali hii . ukilinganisha huyo dada ni dada yangu wa kambo
Sometime nawaza pengine mama asingeolewa na baba huyo nikakutana na huyo binti kwa njia nyingine pengine ningekuwa ni mtu mwenye bahati dunia hii
Wape husia braza....watu vichwa vimejaa mazagazaga...Hizi ndio MADA PENDWA za jamiiforums.
Hapa watu watatiririka kila aina ya hoja huku visimi vimewasimama wima, kila mtu atajifanya profesa wa mapenzi huku akitoa nasaha lukuki za huba.
Uzi una dakika kumi tu lakini comments zimefika buku!!! Hii kweli ni MBUNYETO, watu miboro imedinda tu!
Sasa NASEMAJEEE, NASEMAAAJEEEEE, endelea kuibamiza mbunye ya dada ako.
Cc: Dogoli kinyamkela Extrovert Poor Brain Mbaga Jr Kalpana Lamomy Labella Half american Intelligent businessman Nyani Ngabu ChoiceVariable chiembe raraa reree min -me Tlaatlaah Lucas Mwashambwa secretarybird
Wazazi wako walipoachana ukaungana na mama yako kuolewa kwa mme mwingine.Habari wa ndugu, Heri ya mwaka mpya natumaini wazima ,
Nimekuja na hii mada sio kwa lengo la kujisifia au kutangaza dhambi ya zinaa ninazofanya nimekuja na huu uzi sababu nahitaji ushauri pengine msaada wa kimawazo maana nahisi sio kawaida
Nisikuchoshe nipunguze maneno ni hivi kipindi nipo sekondari mama aliachana na baba baada ya kipindi kupita akaolewa tena na huyo mume aliyemuoa alikuwa ana binti yake alizaa na mwanamke mwengine mimi na mama wote tuliamia kwenye familia hiyo ambapo ni baba anaishi na binti yake makamu yangu hata kidato tulikuwa kimoja, Sasa sijui kuishi ndugu wawili wakike na wakiume wasio wa damu inachangia au shetani au ni tamaa zetu mbovu tulijikuta mimi na huyo binti ambaye ni dada yangu wa kambo tunaingia kwenye mchezo mchafu.
Tulifanya kwa siri . Kipindi wazazi walikuwa hawapo tulikuwa tunafanya mapenzi sana saa nyingine binti ananyata usiku anakuja chumbani kwangu saa nyengine naenda chumbani kwake saa nyengine sebuleni ikawa ndio michezo yetu mpka tukanogewa tukajikuta tunapendana maana hizi constant casual sex na mtu mmoja lazima mcatch feelings . So ikaenda ikaenda ye akapata mahusiano mapya na mimi pia lakini bado roho zetu hazikuridhika ilibidi dada yangu aachane na mtu wake na alikuwa na wivu na mimi na hakutaka kujihusisha na mahusiano ikafikia kipindi nikaenda chuo na yeye mkoa tofauti bado tukawa tunafatana kitendo cha mimi na yeye kuwa mbali kinatuumiza moyo in short tunapendana sana
Mama yangu hakufanikiwa kuzaa na huyo baba wa kambo na walikuja kuachana lakini sisi hatukuacha mawasiliano na mahusiano wote tumekuwa na mahusiano na watu mbalimbali lakini tumeshindwa maana kila mmoja moyo wake yupo kwa mwenzake .sasa tunajitegemea kila mtu yupo kwake lakini tumeshindwa kuachana
Natamani kumuoa lakini alikuwa dada yangu wa kambo na tayari baba yake alishaachana na mama yangu natamani tusipendane lakini tunashindwa , mahusiano yetu ya siri toka tuna miaka 17 na sasa ni watu wazima jamii itanichukuliaje ikijua ?nifanye nini nimsahau? nimchukie au pengine tunahitaji msaada wa kisaikolojia hata sielewi maana wote tulipanga tuachane lakini imeshindikana sometimes najuta kwa nini nilikutana naye au kwa nini mama yangu alikubali kuolewa na baba yake .
Natamani nimkimbie nibadili mawasiliano lakini atafanya juu atanipata saa nyengine nashindwa kujificha kuna kipindi tuliachana tulishindwa maana tulikuwa katika hali mbaya sana kiufupi tunapendana sana na tunatamani uhusiano wetu uwe wazi tuoane lakini ndio hivyo sio sawa katika jamii.
Ni hayo tu samahani kwa ambao bandiko hili litawakwaza
Tusharibu kuachana lakini ndio hivyo mapenzi yana nguvu unakuta tunashindwa inafikia kipindi mwenzangu anakonda anakuwa na mawazo . Hata kwa upande wangu hali inakuwa mbayaNi heri muachane na hiyo issue.
Mkioana tu familia zenu zitavurugika na kila kitu kitatawanyika
Alipoachwa tena tayari nilikuwa chuo so nilishaanza kujitegemea hata nikirudi kusalimia narudi kwa mama sio kwa huyo baba na licha ya kuachana wazazi bado nina uhusiano mzuri na huyo mzee na ananichukulia kama mwanaye alinilea toka nina miaka 17Wazazi wako walipoachana ukaungana na mama yako kuolewa kwa mme mwingine.
Sasa mama yako alipoachwa tena na wewe uliachika ama uliendelea kubaki?
Siyo nduguyo huyo, hakikisha mnaoanaHabari wa ndugu, Heri ya mwaka mpya natumaini wazima ,
Nimekuja na hii mada sio kwa lengo la kujisifia au kutangaza dhambi ya zinaa ninazofanya nimekuja na huu uzi sababu nahitaji ushauri pengine msaada wa kimawazo maana nahisi sio kawaida
Nisikuchoshe nipunguze maneno ni hivi kipindi nipo sekondari mama aliachana na baba baada ya kipindi kupita akaolewa tena na huyo mume aliyemuoa alikuwa ana binti yake alizaa na mwanamke mwengine mimi na mama wote tuliamia kwenye familia hiyo ambapo ni baba anaishi na binti yake makamu yangu hata kidato tulikuwa kimoja, Sasa sijui kuishi ndugu wawili wakike na wakiume wasio wa damu inachangia au shetani au ni tamaa zetu mbovu tulijikuta mimi na huyo binti ambaye ni dada yangu wa kambo tunaingia kwenye mchezo mchafu.
Tulifanya kwa siri . Kipindi wazazi walikuwa hawapo tulikuwa tunafanya mapenzi sana saa nyingine binti ananyata usiku anakuja chumbani kwangu saa nyengine naenda chumbani kwake saa nyengine sebuleni ikawa ndio michezo yetu mpka tukanogewa tukajikuta tunapendana maana hizi constant casual sex na mtu mmoja lazima mcatch feelings . So ikaenda ikaenda ye akapata mahusiano mapya na mimi pia lakini bado roho zetu hazikuridhika ilibidi dada yangu aachane na mtu wake na alikuwa na wivu na mimi na hakutaka kujihusisha na mahusiano ikafikia kipindi nikaenda chuo na yeye mkoa tofauti bado tukawa tunafatana kitendo cha mimi na yeye kuwa mbali kinatuumiza moyo in short tunapendana sana
Mama yangu hakufanikiwa kuzaa na huyo baba wa kambo na walikuja kuachana lakini sisi hatukuacha mawasiliano na mahusiano wote tumekuwa na mahusiano na watu mbalimbali lakini tumeshindwa maana kila mmoja moyo wake yupo kwa mwenzake .sasa tunajitegemea kila mtu yupo kwake lakini tumeshindwa kuachana
Natamani kumuoa lakini alikuwa dada yangu wa kambo na tayari baba yake alishaachana na mama yangu natamani tusipendane lakini tunashindwa , mahusiano yetu ya siri toka tuna miaka 17 na sasa ni watu wazima jamii itanichukuliaje ikijua ?nifanye nini nimsahau? nimchukie au pengine tunahitaji msaada wa kisaikolojia hata sielewi maana wote tulipanga tuachane lakini imeshindikana sometimes najuta kwa nini nilikutana naye au kwa nini mama yangu alikubali kuolewa na baba yake .
Natamani nimkimbie nibadili mawasiliano lakini atafanya juu atanipata saa nyengine nashindwa kujificha kuna kipindi tuliachana tulishindwa maana tulikuwa katika hali mbaya sana kiufupi tunapendana sana na tunatamani uhusiano wetu uwe wazi tuoane lakini ndio hivyo sio sawa katika jamii.
Ni hayo tu samahani kwa ambao bandiko hili litawakwaza
Toka tuna miaka 17 na utu uzima huu unadhani tumeachana mara ngapi ..? Haina idadi lakini ndio hivyo true love Ni true love tuMtaachana Tuu.
Asante mkuu . maana kweli nahitaji pole nipo kwenye mtihani mzitoPolee sana mkuu.
Dada wa kambo ni dada yako mkuuSiyo nduguyo huyo, hakikisha mnaoana