Mahusiano na dada wa kambo

Mahusiano na dada wa kambo

Mtoto wa mjomba ( binamu)
Baba mkubwa ,baba mdogo ni ruksa


Kasoro dada wa kambo sio ruhusa kuoa au mwanamke ambaye alioa baba yako au mwanamke aliyekunyonyesha
Dada wa kambo sio ndugu yako wa damu,,unaweza ukaoa ila mama wa kambo au baba wa kambo hawezi akaoa au akaolewa na mtoto wa kambo.
 
Nenda kwa baba yako wa kambo akikuuliza imekuaje mwambie niliwasiliana na fulani akanambia hadi sasa hajaolewa na mimi pia sijaoa nikamuuliza kama yupo tayari tuoane sababu tunajuana tangu wadogo na tumekuzwa na wazazi wenye maadili mazuri, akakubali ndio nimekuja kwako mzee kupata baraka zako, easy tu,
Unaweza kwenda na mzee mmoja wa busara akusaidie kumpanga mshua
Mpaka sasa nimepata option mbili tu katika maoni yote humu hii ya kwako ikiwepo [emoji120].

Ila dada umpate huyo mzee ambaye atakuwa na huo ujasiri hapo ni hatari
 
Acha huo mchezo unajitafutia shida ya maneno mabaya kutoka kwa wazazi
 
Yakobo alioa Binamu zake, hiyo ya kwako na Ya Yakobo ipi mbaya zaidi?
Yakobo alioa binamu kwa dini yangu ni ruksa kuoa binamu

Mimi nimependana na dada wa kambo ambaye kidini ni dada yangu

Nahisi niko katika Zambi na niko vibaya yakobo hana kosa yupo sahihi huwezi kutufananisha kiongozi
 
Hakuna kupendana apo nikwamba nyege zimewatawala kwakua mshajizoesha kugegedana kila mda kama mngependa msingekua nawapenz wanje , siku ukimuweka ndan hamtoboi mwaka
Unaandika sababu hujui , mapenzi ni zaidi ya sex , unaweza kutosheka na mtu na kurizika tu kwa kumuona au kumsikia sauti yake moyo wako ukawa na amani kama Ushawahi kupenda kweli utajua nazungumzia nini .
 
Hakuna kupendana apo nikwamba nyege zimewatawala kwakua mshajizoesha kugegedana kila mda kama mngependa msingekua nawapenz wanje , siku ukimuweka ndan hamtoboi mwaka
Tupo pamoja toka tuna miaka 17 sembuse mwaka
 
Muoe tu uzuri baba yako wa kambo na mama yako wa kambo hawajapata mtoto sioni shida.
Wakikukatalia mpe mimba tu azae watakubali wenyewe .
Hili pia lipo kwenye list ngoja tuone itavyokuwa au nisubiri wamekufa kama member mmoja alivyoniambia
 
Hili pia lipo kwenye list ngoja tuone itavyokuwa au nisubiri wamekufa kama member mmoja alivyoniambia
Unaweza kufa wewe mkuu,kifo ni fumbo.

Tia mimba ,watasema ila nyie mnachekea chumbani,maisha gani haya mafupi sanaa.

Mkigombana mama wazazi wenu ndio hao hao sasa.
 
Habari wa ndugu, Heri ya mwaka mpya natumaini wazima ,

Nimekuja na hii mada sio kwa lengo la kujisifia au kutangaza dhambi ya zinaa ninazofanya nimekuja na huu uzi sababu nahitaji ushauri pengine msaada wa kimawazo maana nahisi sio kawaida

Nisikuchoshe nipunguze maneno ni hivi kipindi nipo sekondari mama aliachana na baba baada ya kipindi kupita akaolewa tena na huyo mume aliyemuoa alikuwa ana binti yake alizaa na mwanamke mwengine mimi na mama wote tuliamia kwenye familia hiyo ambapo ni baba anaishi na binti yake makamu yangu hata kidato tulikuwa kimoja, Sasa sijui kuishi ndugu wawili wakike na wakiume wasio wa damu inachangia au shetani au ni tamaa zetu mbovu tulijikuta mimi na huyo binti ambaye ni dada yangu wa kambo tunaingia kwenye mchezo mchafu.

Tulifanya kwa siri . Kipindi wazazi walikuwa hawapo tulikuwa tunafanya mapenzi sana saa nyingine binti ananyata usiku anakuja chumbani kwangu saa nyengine naenda chumbani kwake saa nyengine sebuleni ikawa ndio michezo yetu mpka tukanogewa tukajikuta tunapendana maana hizi constant casual sex na mtu mmoja lazima mcatch feelings . So ikaenda ikaenda ye akapata mahusiano mapya na mimi pia lakini bado roho zetu hazikuridhika ilibidi dada yangu aachane na mtu wake na alikuwa na wivu na mimi na hakutaka kujihusisha na mahusiano ikafikia kipindi nikaenda chuo na yeye mkoa tofauti bado tukawa tunafatana kitendo cha mimi na yeye kuwa mbali kinatuumiza moyo in short tunapendana sana

Mama yangu hakufanikiwa kuzaa na huyo baba wa kambo na walikuja kuachana lakini sisi hatukuacha mawasiliano na mahusiano wote tumekuwa na mahusiano na watu mbalimbali lakini tumeshindwa maana kila mmoja moyo wake yupo kwa mwenzake .sasa tunajitegemea kila mtu yupo kwake lakini tumeshindwa kuachana

Natamani kumuoa lakini alikuwa dada yangu wa kambo na tayari baba yake alishaachana na mama yangu natamani tusipendane lakini tunashindwa , mahusiano yetu ya siri toka tuna miaka 17 na sasa ni watu wazima jamii itanichukuliaje ikijua ?nifanye nini nimsahau? nimchukie au pengine tunahitaji msaada wa kisaikolojia hata sielewi maana wote tulipanga tuachane lakini imeshindikana sometimes najuta kwa nini nilikutana naye au kwa nini mama yangu alikubali kuolewa na baba yake .


Natamani nimkimbie nibadili mawasiliano lakini atafanya juu atanipata saa nyengine nashindwa kujificha kuna kipindi tuliachana tulishindwa maana tulikuwa katika hali mbaya sana kiufupi tunapendana sana na tunatamani uhusiano wetu uwe wazi tuoane lakini ndio hivyo sio sawa katika jamii.

Ni hayo tu samahani kwa ambao bandiko hili litawakwaza
Mimi nilichoambulia humu kwenye huu uzi wako ni kwamba mamako naye ni kicheche, hatulii na mwanaume mmoja na wewe umelazimika kuzurura naye!
 
Totautisha penz lakuvuana chup kiwiz nakuoa, uchumba unaweza kidum hata miaka kumi ila ukioa mwaka tu
Tulianza na sex kwa sababu kila mmoja alivutiwa na mwenzake hata mahusiano mengi yanaanza hivyo
 
Mimi nilichoambulia humu kwenye huu uzi wako ni kwamba mamako naye ni kicheche, hatulii na mwanaume mmoja na wewe umelazimika kuzurura naye!
Inaweza ikawa hakubahatika wanaume waliotulia na hilo linaweza kuwa jibu
 
Back
Top Bottom