financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Anazitawanya mbususu kwa kwenda mbeleHivi mkuu, muda wote huo mkeo anakua wapi? Ni kama muda mwingi unashinda na michepuko kuliko familia? Mara mama J, mdogo ake pia ulibutua, sahivi umehamia kwa fundi nguo, huridhiki tu?[emoji12]
Hawezi kuwa na mke huyu, itakua anaishi na mahawara tu.Hivi mkuu, muda wote huo mkeo anakua wapi? Ni kama muda mwingi unashinda na michepuko kuliko familia? Mara mama J, mdogo ake pia ulibutua, sahivi umehamia kwa fundi nguo, huridhiki tu?😜
Tena Kuna wakati alikupigia simu ukiwa ofisin hukupokea na ulipopokea ukamwambia hauko ofisin af ye akachukulia fresh mbona nakuona hapa Mzee baba maaibu kama yoteAngetambua angeshanambia au kunilaumu TU mkuu,
Ujue Yuko kimya na anatabasamu maisha yanasonga, yaan utadhan sijawahi mkosea.
Sawa kakaWapi umeona nahangaika mkuu,
Mbona Naishi tu Safina MKE wangu.
Ndoa yetu mbona iko imara tu na haina tatizo lolote kabisa.
Fres ndgu , naona sa iv una ktu kipya mama j unapga chini ha haaaaaaaaNipo chief, za masiku[emoji4]
Usisemee yule mkwere. Mfupi mweupe hivi. Hanaga hiya a yule. Mm nmeachana nae mwaka juzi anakaa mbande Kwa baharesa 🤣Habar wakuu,
Huyu mwanamke amejiajiri Ni fundi cherehani, ana miaka 27 hajaolewa na anaishi mwenyewe na mtoto wake mmoja wa kike.
Nipo mimiNmekumiss rafiki, upo? [emoji4]
[emoji848][emoji848]Usisemee yule mkwere. Mfupi mweupe hivi. Hanaga hiya a yule. Mm nmeachana nae mwaka juzi anakaa mbande Kwa baharesa [emoji1787]
Aah hadi mbususu zinatoa mvuke aisee😂Anazitawanya mbususu kwa kwenda mbele
Hahahaha kuwa mwanaume ni kazi ngumu kudadekiShukuru sana kwa huyo mwanamke,nakushauri umtumbue mama j halafu mpandishe rank huyu fundi nguo.
Sisi wengine tuna mkosi. .tukipewa mbususu ukaacha kahela kidogo tu kesho yake unapewa mkeka wa meseji
Vipi hali?.. nawewe umelala njaa kama mimi?
Kesho nauli ya kwenda kazini sina
Hela hunipi ntapata wapi hamu,ebu niachee
Nimekopa vitu vya 30k dukani,uje ulipe..
[emoji28][emoji28][emoji28] imebidi tu nichekeAnazitawanya mbususu kwa kwenda mbele
Sahii kabisa,Usicheke maisha yanatofautiana lakini uzuri alikua na akili kusave vijipesa ili kununua kiwanja na kujenga walau hicho Chumba kimoja
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app