Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anakufaa usimwache kisa ana hasira, coz hata asie na hasira za karibu hakosi changamoto.Wakuu habari zenu. Naomba ushauri wa namna ya kuweza kuendelea na mahusiano na mwanamke mwenye hasira za karibu sana hata kwa jambo ambalo halina maana ya mtu kukasirika. Mana naona uvumilivu unaelekea kunishinda.
Vitu vidogo mfano mlipanga muwe na ratiba ya saa flan pamoja, ukichelewa kwake ni malalamiko, pia akitokea mmeongea jambo, ukiwa unamuliza tena anakasirika sana. Yaani hasira zake zinakuwa kuwa mpk unauliza ni jambo hili hili au **** lengine. Anajibu ni hilo hilo..Kwanini anakasirika? Chanzo ni nini?
Chukua hatua haraka za kujitenga naye atakuja kukuletea madhara makubwaWakuu habari zenu. Naomba ushauri wa namna ya kuweza kuendelea na mahusiano na mwanamke mwenye hasira za karibu sana hata kwa jambo ambalo halina maana ya mtu kukasirika. Mana naona uvumilivu unaelekea kunishinda.
Sawa.Ni kweli usemayo, ila mie naona ni mtihani mgumu sana kudeal na mwanawake wa aina hii..
Hatari sn yaani.Chukua hatua haraka za kujitenga naye atakuja kukuletea madhara makubwa
NakaziaPiga chini akakasirikie kwao......
Ama kapumzika chumbani au sebuleni mara sufuria hilo la maji ya moto mwilini😭Hatari sn yaani.
Asisubri siku kalala anafungiwa mlango kwa nje nyumba inapigwa moto