Mahusiano na wasichana ni 'comedy'

Mahusiano na wasichana ni 'comedy'

"Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"

Huyo anakuuliza hivyo akimaanisha kua unataka kumnyandua tu au una mpango wa kumuoa?
 
Morning JF family,

Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.

Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi muislamu lakini nilikuwa namnunulia, acha visenti vidogo dogo nampea.

Sasa ukimuambia masuala ya kunyanyanduana, heti anauliza, "Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"
Sijamjibu nasubiria anipige mzinga ndio nimpe jibu muhafaka, maana kana njaa sana ya hela.

Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima, anakulingia wewe wakati huohuo unakuta kuna msela tu mvaa heleni anamla free, au madereva wa bodaboda unakuta wanajipigia buree.
Unanikumbusha kamoja, kaliniomba 400k nikakaambia kasubiri, nikataka nikakule kwanza walau hata mara kadhaa ndo nikapatie pesa kaliyoomba, (maana sitaki uzembe kabisa wa kulia lia kwenye mahusiano)

Katikati ya safari kabla sijakatumia pesa nikaambia kaje, kakakubali kakataka nikatumie nauli, nikakatumia nauli 6000 baada ya muda mfupi kakaniambia kametingwa hakawezi kuja! Nikauchuna...

Siku ya tatu nikakapigia tena, mbona hauji kakaniambia hakana nauli, nikakatumia 5000 (kumbuka hapo kanasubiri ahadi yake ya 400k) hakakuja, nikauchuna!

Ilipofika siku ya ahadi kakanitafuta mapema sanaaa, nikaambia utakuja kuchukua saa ngapu? kakasema nakuja sasa hivi, kweli chap kakanipigia kamefika eneo la tukio, nikakagegeda weeeee masaa kama 7 hivi, muda wa kuondoka nikakaambia pesa utakuja kuchukua wiki ijayo, nikakapa nauli 3000!

Kwanini nilifanya hivi?
Niligundua kameniona boya, kutaka nikatumie nauli then hakaji, na 400k niliyotaka kukapatia nikakapotezea! Bradi bronkeniii, instanbull!
 
Unanikumbusha kamoja, kaliniomba 400k nikakaambia kasubiri, nikataka nikakule kwanza walau hata mara kadhaa ndo nikapatie pesa kaliyoomba, (maana sitaki uzembe kabisa wa kulia lia kwenye mahusiano)

Katikati ya safari kabla sijakatumia pesa nikaambia kaje, kakakubali kakataka nikatumie nauli, nikakatumia nauli 6000 baada ya muda mfupi kakaniambia kametingwa hakawezi kuja! Nikauchuna...

Siku ya tatu nikakapigia tena, mbona hauji kakaniambia hakana nauli, nikakatumia 5000 (kumbuka hapo kanasubiri ahadi yake ya 400k) hakakuja, nikauchuna!

Ilipofika siku ya ahadi kakanitafuta mapema sanaaa, nikaambia utakuja kuchukua saa ngapu? kakasema nakuja sasa hivi, kweli chap kakanipigia kamefika eneo la tukio, nikakagegeda weeeee masaa kama 7 hivi, muda wa kuondoka nikakaambia pesa utakuja kuchukua wiki ijayo, nikakapa nauli 3000!

Kwanini nilifanya hivi?
Niligundua kameniona boya, kutaka nikatumie nauli then hakaji, na 400k niliyotaka kukapatia nikakapotezea! Bradi bronkeniii, instanbull!
[emoji23][emoji23]story yako imeisha kibingwa sana
 
Morning JF family,

Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.

Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi muislamu lakini nilikuwa namnunulia, acha visenti vidogo dogo nampea.

Sasa ukimuambia masuala ya kunyanyanduana, heti anauliza, "Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"
Sijamjibu nasubiria anipige mzinga ndio nimpe jibu muhafaka, maana kana njaa sana ya hela.

Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima, anakulingia wewe wakati huohuo unakuta kuna msela tu mvaa heleni anamla free, au madereva wa bodaboda unakuta wanajipigia buree.
Wewe una miaka mingapi na binti ana miaka mingapi?
 
Unanikumbusha kamoja, kaliniomba 400k nikakaambia kasubiri, nikataka nikakule kwanza walau hata mara kadhaa ndo nikapatie pesa kaliyoomba, (maana sitaki uzembe kabisa wa kulia lia kwenye mahusiano)

Katikati ya safari kabla sijakatumia pesa nikaambia kaje, kakakubali kakataka nikatumie nauli, nikakatumia nauli 6000 baada ya muda mfupi kakaniambia kametingwa hakawezi kuja! Nikauchuna...

Siku ya tatu nikakapigia tena, mbona hauji kakaniambia hakana nauli, nikakatumia 5000 (kumbuka hapo kanasubiri ahadi yake ya 400k) hakakuja, nikauchuna!

Ilipofika siku ya ahadi kakanitafuta mapema sanaaa, nikaambia utakuja kuchukua saa ngapu? kakasema nakuja sasa hivi, kweli chap kakanipigia kamefika eneo la tukio, nikakagegeda weeeee masaa kama 7 hivi, muda wa kuondoka nikakaambia pesa utakuja kuchukua wiki ijayo, nikakapa nauli 3000!

Kwanini nilifanya hivi?
Niligundua kameniona boya, kutaka nikatumie nauli then hakaji, na 400k niliyotaka kukapatia nikakapotezea! Bradi bronkeniii, instanbull!
Ulikakomesha
 
Morning JF family,

Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.

Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi muislamu lakini nilikuwa namnunulia, acha visenti vidogo dogo nampea.

Sasa ukimuambia masuala ya kunyanyanduana, heti anauliza, "Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"
Sijamjibu nasubiria anipige mzinga ndio nimpe jibu muhafaka, maana kana njaa sana ya hela.

Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima, anakulingia wewe wakati huohuo unakuta kuna msela tu mvaa heleni anamla free, au madereva wa bodaboda unakuta wanajipigia buree.
Visenge sana vyenyewe vinadhani sisi hatuumii tunapovipa hela. Hela inauma sana basi tu asikwambie mtu
 
Binti ale nguruwe halafu na wewe umle binti aliyenawiri kwa kula nguruwe. Yaani huli nyama ya ng'ombe halafu unakunywa maziwa.

Nimeamini. Maisha bila unafki, hayaendi.
 
Binti ale nguruwe halafu na wewe umle binti aliyenawiri kwa kula nguruwe. Yaani huli nyama ya ng'ombe halafu unakunywa maziwa.

Nimeamini. Maisha bila unafki, hayaendi.

Kuku anakula nyoka na wadudu kisha ananenepa unachinja unamla!

Kinda win-win[emoji851]
 
Pole sana usiwe unamuomba, wewe chukua tu, msamaha utaomba baadae...
 
Back
Top Bottom