Mahusiano ya kimapenzi yananitesa

Mahusiano ya kimapenzi yananitesa

Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana
Anakupenda sana eeeeh, au sio?

Huyo usimuache, mng'ang'anie hadi umuoe, Mwanaume unaacha vipi demu aolewe na mwingine wakati anakupenda wewe.

Nenda home kwao kajitambulishe, waambie binti anakupenda na mpo tayari kuoana. Wakizingua Mtoroshe.

Yajue ya kuzingatia, uache kuumia kwenye vitu vya kijinga.
 
images (9).jpeg
 
Kwamba unampenda sana hilo unajua wewe. Kwamba anakupenda sana wewe hilo hujui. Anayejua ni yeye na Muumba wake. Zama zetu si kama zama za zamani. Kulazimishwa kuolewa au kuoa siku hizi si tena jambo linalojitokeza mara kwa mara. Kama ameamua kukubali atangaze uchumba angali yupamoja na wewe basi ujue wewe haumo moyoni mwake. Na si kisingizio cha kulazimishwa na wazazi. Na kabla ya yote, alishawahi kukutambulisha hata kwa wazazi wake au ndugu zake?

Ningekushauri ukae na kujiuliza mara mbili. Utajidanganya mwenyewe...... Tafuta akufaae.
Umeshamaliza niliyotaka kuandika hapa.
Uzi ufungwe.
Ndugu mtoa mada kaa mbali na huyo mwanamke atakutesa sana na familia yake pia itakutesa sana maana haikutambui au hata kama wanakutambua hawakutaki wanamtaka mtu mwingine.
Kwa hiyo ukilazimisha kuendelea na huyo mwanamke utakuwa ni mtu wa mateso miaka nenda rudi,huyo mwanamke atakuwa anakutesa kisha baadae anakuomba msamaha kisha anakwambia sio yeye anayesababisha mateso yako ila ni ndugu zake,wanawake hawanaga msimamo wa moja kwa moja
 
Wewe ulikuwa na mpango wa kumuona lini?
Mmehusiana Kwa muda Gani?
If you can't fight for your love, mwache Binti wa watu aende naona aliempata amenyooka Hana konakona
 
kwaio huyo Mwanamke saiz ana moyo?

Sasa damu inasumkumwa na nn ?

Anyway Wazazi wako wanampenda au ??

Penda kiasi watu ni wengi mkuu
 
Kwamba unampenda sana hilo unajua wewe. Kwamba anakupenda sana wewe hilo hujui. Anayejua ni yeye na Muumba wake. Zama zetu si kama zama za zamani. Kulazimishwa kuolewa au kuoa siku hizi si tena jambo linalojitokeza mara kwa mara. Kama ameamua kukubali atangaze uchumba angali yupamoja na wewe basi ujue wewe haumo moyoni mwake. Na si kisingizio cha kulazimishwa na wazazi. Na kabla ya yote, alishawahi kukutambulisha hata kwa wazazi wake au ndugu zake?

Ningekushauri ukae na kujiuliza mara mbili. Utajidanganya mwenyewe...... Tafuta akufaae.
Nashukuru kwa ushauri wako ndugu
 
Back
Top Bottom