- Thread starter
- #41
Hupendwi au jamaa kakuzidi pesa.
Ndio ila wazazi hawajanikubali kwasababu wao wanamtambua jamaa wakwanza nawalimpendaKwani mkuu huyo manzi amewahi kukutambulisha kwao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupendwi au jamaa kakuzidi pesa.
Ndio ila wazazi hawajanikubali kwasababu wao wanamtambua jamaa wakwanza nawalimpendaKwani mkuu huyo manzi amewahi kukutambulisha kwao?
Sante sana kwa ushauri ndugu yanguBaadae atakuambia ameshindwa kutoroka ngoja aolewe kwa mwaka mmoja tu halafu atakuja kwako. Ushauri shituka acha kuamua mambo kwa hisia, hicho Kiwanja tayari kinamgogoro usinunue.
Sante sana kwa ushauri nduguBaadae atakuambia ameshindwa kutoroka ngoja aolewe kwa mwaka mmoja tu halafu atakuja kwako. Ushauri shituka acha kuamua mambo kwa hisia, hicho Kiwanja tayari kinamgogoro usinunue.
Boss pesa ninayo kwa kiasi chake namiliki vitu vya thamani vingi tu nanilikua nimesha muandalia mpaka ofisi ya ndoto zake japo nilikua sijamuonyesha mpaka nitakapo muoa lakini kwa mtindo huu ambao nimeuona siwezi kuwa nae tena. Hivyo vitu vyangu vimeponaKwanza mleta mada anaonekana hana pesa.
Angekua anampenda asingekbali hata huo uchumba.kwa nini
Sante sana kwa ushauri nduguUmeshamaliza niliyotaka kuandika hapa.
Uzi ufungwe.
Ndugu mtoa mada kaa mbali na huyo mwanamke atakutesa sana na familia yake pia itakutesa sana maana haikutambui au hata kama wanakutambua hawakutaki wanamtaka mtu mwingine.
Kwa hiyo ukilazimisha kuendelea na huyo mwanamke utakuwa ni mtu wa mateso miaka nenda rudi,huyo mwanamke atakuwa anakutesa kisha baadae anakuomba msamaha kisha anakwambia sio yeye anayesababisha mateso yako ila ni ndugu zake,wanawake hawanaga msimamo wa moja kwa moja
Mimi sikua na kona kona nasija mkalisha muda mrefu hataWewe ulikuwa na mpango wa kumuona lini?
Mmehusiana Kwa muda Gani?
If you can't fight for your love, mwache Binti wa watu aende naona aliempata amenyooka Hana konakona
Sante Sana ndugu kwa ushauriMtu anaekupenda ukweli utamuona tu wala huhitaji nguvu kubwa kumjua. Anakupa sababu za kitoto na wewe unaamini, utakuja shtuka muda ukiwa si rafiki tena.
Sante sana kwa ushauri ndugukwaio huyo Mwanamke saiz ana moyo?
Sasa damu inasumkumwa na nn ?
Anyway Wazazi wako wanampenda au ??
Penda kiasi watu ni wengi mkuu
Usimpende sana kupita kiasiJamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.
Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.
Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
NAKAZIAMwanamke hajalazimishwa na wazazi mzee ila anampenda huyo jamaa ila hawezi kukutamkia moja kwa moja pengine anaogopa kukupa jibu litakalo kuumiza.
Ikishafika hatua hiyo cha kwanza fungua moyo na usilazimishe chochote kinachotakiwa ni kumwambia achague moja yupo na wewe au anaenda kwa jamaa na jibu lolote ulipokee kiroho safi akienda kwa mwana mtakie maisha mema na uendelee na maisha yako kiroho safi.
Epuka sana kujidhalilisha na kujitoa thamani kwa kulazimisha mtu akuone bora wakati yuko mtu bora kwake zaidi yako.
Mkuu nakushauri tu huyo manzi achana naeNdio ila wazazi hawajanikubali kwasababu wao wanamtambua jamaa wakwanza nawalimpenda
Daaaah!! Nakupigia muda si mrefuNipo
Nipo Dar es salaam
😀 Kimbiza fursaDaaaah!! Nakupigia muda si mrefu
Kama day one unamgonga hukumkuta bikra achana nae mke wa mtu huyo, ata ukimuoa ataliwa tuJamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.
Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.
Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.
Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.
Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
Nataka kumpigiaIlaa ww daaaaaa ,yupo jf unamsaidiajeee😅