Mahusiano ya mtandaoni

Mahusiano ya mtandaoni

Nakusikiliza wewe babe, kwanza video call muhimu nijiridhishe nisije kumeet na blaza K [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Meeting point Ni ile ile mlimani city au tubadilishe.

Fanya nilete ushuhuda jukwaani mapema.

Vielelezo vingine utavichukua kwa mywani wangu Antonnia
 
Meeting point Ni ile ile mlimani city au tubadilishe.

Fanya nilete ushuhuda jukwaani mapema.

Vielelezo vingine utavichukua kwa mywani wangu Antonnia

Mlimani city pashakua common tutakutana na Mpwayungu atufotoe atulete hapa wima wima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitakwambia pa kukutana babe na ushuhuda lazima ulete [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimepoteza access ya kuingia account yangu ya zamani,ila humu nipo kitambo,huoni narefer majina ya wakongwe kina deep pond,kwaio sio kama mgeni,ni mgeni mwenyeji
Ukishaingia humu hutoki tena utakua bize kwa wakati flan then utarudi tu
 
Mlimani city pashakua common tutakutana na Mpwayungu atufotoe atulete hapa wima wima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitakwambia pa kukutana babe na ushuhuda lazima ulete [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatimaye! Maaji ya bahari ya nasaidia sana
 

Attachments

  • Screenshot_20230801_140517_Instagram.jpg
    Screenshot_20230801_140517_Instagram.jpg
    114.2 KB · Views: 20
  • Screenshot_20230801_140426_Instagram.jpg
    Screenshot_20230801_140426_Instagram.jpg
    110.2 KB · Views: 16
Nilikuwa nimeenda kufanya IELTS Test miaka hiyo nipo chuo, invigilator wangu alikuwa mdada hivi, kazuri sana kalikuwa. Kalikuwa na badge na jina lake, nikajisemea huyu kwa hapa siwezi pata kitu, ila nakariri jina. Nilivyomaliza nikaenda zangu ghetto nikaingia online nikasearch jina, mara paap jina na picha kama nilivyomuona...
....Kilichofuata...it was my first ever online hookup...and ever since ilikuwa mwendo wa online tu!!😁
 
wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
Mdogo wangu, kumbeeee....hongera sana!
 
Back
Top Bottom