Meeting point Ni ile ile mlimani city au tubadilishe.Nakusikiliza wewe babe, kwanza video call muhimu nijiridhishe nisije kumeet na blaza K [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sio siri hata hivyoAnafungua code huyu
[emoji1787][emoji1787]Tatzo mshamba _ hachekwi: , kila siku yupo kwenye nyuzi za kataa ndoa dooooh
Hahaha Baba Swalehe unamjua wewe? Ngoja anuse Uzi huu🤣🤣Wachangiaji wengine msije mkatuletea stories za majini na vibwengo, nawajua watu wa JF kwa fix.
sio hapa bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Napitwaje sasa, wakati tulikubaliana hatufichani shoga angu
Dua zako mkuu! Niombee nisije kukimbiwa tu na iyo pisi kali siku iyo.Mkutane mje mtupe story
Meeting point Ni ile ile mlimani city au tubadilishe.
Fanya nilete ushuhuda jukwaani mapema.
Vielelezo vingine utavichukua kwa mywani wangu Antonnia
sio hapa bana
Ukuwahi kukutana na wakongo uko mtandaoni?Yupi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukishaingia humu hutoki tena utakua bize kwa wakati flan then utarudi tuNimepoteza access ya kuingia account yangu ya zamani,ila humu nipo kitambo,huoni narefer majina ya wakongwe kina deep pond,kwaio sio kama mgeni,ni mgeni mwenyeji
Hatimaye! Maaji ya bahari ya nasaidia sanaMlimani city pashakua common tutakutana na Mpwayungu atufotoe atulete hapa wima wima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitakwambia pa kukutana babe na ushuhuda lazima ulete [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na huo ndio mkono wa Just Nana....just kukutoa hofu, haya endelea kutiririka...
View attachment 2704754
pambania😁Kumbe inawezekana kupata ndoa humu😊🤗
Ukuwahi kukutana na wakongo uko mtandaoni?
Nasikia wanamwaga pesa kinoma
Hatimaye! Maaji ya bahari ya nasaidia sana
Ahahahah ila umeona mengi sana na huyo mlifika wapi?Nakutana na wahindi wanaopiga video call na kuonyesha mijulusi yao tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mdogo wangu, kumbeeee....hongera sana!wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T