Mahusiano ya mtandaoni

wiiiiiiifiiiiiiii,
sahii KK Security nipo maeneo haya...[emoji28]

Yaani wifi mimi sijui nifanyaje??? Najisahau nataniana tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Basi wifi angu usimwambie kaka ako nitarushwa mitama bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyie watu wa chugga bhangi na milungi ndio wazalishaji wakuu, msije kunitoa roho

Ss hivi naacha sirudii tena!! I sweaaaaarr wii
 
Mlimani city pashakua common tutakutana na Mpwayungu atufotoe atulete hapa wima wima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nitakwambia pa kukutana babe na ushuhuda lazima ulete [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlimani city enzi hizo,ukiwa na kideti pale dooooh ,unaoga mara mbili mbili[emoji28][emoji28][emoji28]
 
🀣🀣🀣🀣Ulikua nakihiroro mwambuse meet za Facebook nzo zipo kwer🌝
 
Kwa ushauri njoo na buti za mvua tujue kama tunaenda kuopoa michanga mtoni🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wifi mimi sitataka kuona mtu anakatwa milonjo inatupwa mtoni....

Hii ni ya mwisho wi, nyingine sitaifumbia macho, kaka anauma.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wifi mimi sitataka kuona mtu anakatwa milonjo inatupwa mtoni....

Hii ni ya mwisho wi, nyingine sitaifumbia macho, kaka anauma.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wifi nimeachaaaa

Hapa naimagine ile mitama ya Adam Mchomvu aliyompiga Mbasha, ndio inatua kwangu afu nimevaa heels dah!! Sijui km nitainuka!!!

Kaka ako namuogopa aisee!! Ana hasira za kuua mtu nilikua sijamjua vizuri

Hapa akitokea na log out nasepaaa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wifi mimi sitataka kuona mtu anakatwa milonjo inatupwa mtoni....

Hii ni ya mwisho wi, nyingine sitaifumbia macho, kaka anauma.
Kuna mwenzenu kaachwa Jana hapahapa jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…