Huniekwel babe
😍😍😍😍😍wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
usitie shaka shemeji😂 sijayaweka moyoniNaomba umsamehe shemu ameteleza mkuu, nitamuonya nikirudi home
moneytalk futa hiyo post sijafurahishwa nayo baby
Hahahaa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wifi nimeachaaaa
Hapa naimagine ile mitama ya Adam Mchomvu aliyompiga Mbasha, ndio inatua kwangu afu nimevaa heels dah!! Sijui km nitainuka!!!
Kaka ako namuogopa aisee!! Ana hasira za kuua mtu nilikua sijamjua vizuri
Hapa akitokea na log out nasepaaa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Nisanue my wangu
Hahahaa,
Huu ugonjwa wa heels kumbe tunaumwa wengi...
Usijaribu kukutwa na bwana pepsi tafadhali.. hawa watu ambao siyo rahisi kuchukia wakichukia ni wabaya sana..
Nashauri tu usisubiri kukutwa, jitahidi kuviepuka vitu vinavyomkwaza kaka yangu...
Eendiwoooooooo mnywanii asijaree kabisaaa docs zote napokea na zitawafikia swalamaa swalmin!!
Weee kumbe karudi lol nilikua sijamuonaaaa wapiiii KLM cocastic ???? Nilimmiss Vibaya sanaaa!!.At least nyuzi zitachangamka Saivi mkikutana hivo vichwaa Hakuna kupoa wala kuboaa!!Udugu karudi umemuona?
Mwambie atume pesa ya kusuka, maneno mengi mwanaume hayampendezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee kumbe karudi lol nilikua sijamuonaaaa wapiiii KLM cocastic ???? Nilimmiss Vibaya sanaaa!!.At least nyuzi zitachangamka Saivi mkikutana hivo vichwaa Hakuna kupoa wala kuboaa!!
Wee mnywanii akee Tonniah Kapachino unaniangushaa mnywanii nakuaminia ujuee!!
Fanya mafekecheee mtrotro apendeze mnyaniii!!
Nilipewa namba yake na rafiki, sikuwahi kumuona tukafahamiana kwa kuchati watsapp.... Tukazoeana mpaka tukaja kukutana....
Ilibidi nimpotezee kwasababu niliambiwa baba yake ni mwanajeshi aliiba simu yake akasoma meseji zangu akawa ananitafuta😂
Chuma kiongo hiki 😂😂😂
Yaani daaah,nimekumbuka[emoji3]Vipi mwenzetu mbona emoj ya maloveee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sijakudanganya babe,atakujibu yeye mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hili umenidanganya wewe shouga angu nakujua vizuri
Daah shemu nisamehe tu mimi,cute wife ananiponzaShem kiboga ni nini?
baba THunie