Mahusiano ya mtandaoni

Mahusiano ya mtandaoni

wangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
😍😍😍😍😍
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wifi nimeachaaaa

Hapa naimagine ile mitama ya Adam Mchomvu aliyompiga Mbasha, ndio inatua kwangu afu nimevaa heels dah!! Sijui km nitainuka!!!

Kaka ako namuogopa aisee!! Ana hasira za kuua mtu nilikua sijamjua vizuri

Hapa akitokea na log out nasepaaa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hahahaa,
Huu ugonjwa wa heels kumbe tunaumwa wengi...
Usijaribu kukutwa na bwana pepsi tafadhali.. hawa watu ambao siyo rahisi kuchukia wakichukia ni wabaya sana..

Nashauri tu usisubiri kukutwa, jitahidi kuviepuka vitu vinavyomkwaza kaka yangu...
 
Meeting point Ni ile ile mlimani city au tubadilishe.

Fanya nilete ushuhuda jukwaani mapema.

Vielelezo vingine utavichukua kwa mywani wangu Antonnia
Eendiwoooooooo mnywanii asijaree kabisaaa docs zote napokea na zitawafikia swalamaa swalmin!!
 
Hahahaa,
Huu ugonjwa wa heels kumbe tunaumwa wengi...
Usijaribu kukutwa na bwana pepsi tafadhali.. hawa watu ambao siyo rahisi kuchukia wakichukia ni wabaya sana..

Nashauri tu usisubiri kukutwa, jitahidi kuviepuka vitu vinavyomkwaza kaka yangu...

Napenda heels wii, nikiona kaka ako kakasirika jambo la kwanza ni kuvua viatu ili nijue nakimbiaje kabla sijatenguliwa kiuno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanaume wa chugga sio waoga kabisaaa!!

Popote anaanzisha vurumai mnajaza watu nyomi……ss hivi najitahidi kujibehave nisimkwaze babe wangu CW [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Udugu karudi umemuona?

Mwambie atume pesa ya kusuka, maneno mengi mwanaume hayampendezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee kumbe karudi lol nilikua sijamuonaaaa wapiiii KLM cocastic ???? Nilimmiss Vibaya sanaaa!!.At least nyuzi zitachangamka Saivi mkikutana hivo vichwaa Hakuna kupoa wala kuboaa!!

Wee mnywanii akee Tonniah Kapachino unaniangushaa mnywanii nakuaminia ujuee!!
Fanya mafekecheee mtrotro apendeze mnyaniii!!
 
Weee kumbe karudi lol nilikua sijamuonaaaa wapiiii KLM cocastic ???? Nilimmiss Vibaya sanaaa!!.At least nyuzi zitachangamka Saivi mkikutana hivo vichwaa Hakuna kupoa wala kuboaa!!

Wee mnywanii akee Tonniah Kapachino unaniangushaa mnywanii nakuaminia ujuee!!
Fanya mafekecheee mtrotro apendeze mnyaniii!!

Alete hizo pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom