Ehhh au hutaki nikupe kumbi kumbi mchumbaa π€πStory ya mimi na wewe auπππ
Nimewaona mda jamani,, wanapatikana wapi msimu huu nijeπππEhhh au hutaki nikupe kumbi kumbi mchumbaa π€π
Hehe he 2016 nikiwa Udsm nilikuwa na date pale na pisi moja samaki samaki nilikuwa mjinga nilinunua ice cream kisado mlimani city full kubebishana na pisi na kuagiza chakula samaki samaki wahudumu wakaanza kutuomba tuwapimie ice cream kwa glass hahahahMlimani city enzi hizo,ukiwa na kideti pale dooooh ,unaoga mara mbili mbili[emoji28][emoji28][emoji28]
Muulize Cute WifeMkuje mlete story hapa[emoji28][emoji28][emoji28]
Bado nipo nipo mkuu....nashangaa shangaa tu hapa mjini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimtoe out weekend
Umtoe nani tena mkuu π€Bado nipo nipo mkuu....nashangaa shangaa tu hapa mjini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimtoe out weekend
Unataka uumie tena moyoπ πTyping error, nilimwambia anitoe out
Just outing and chilling, spoiling kidogo....am very much carefully nowdays kipenzi....mekuaUnataka uumie tena moyo[emoji28][emoji28]
Pole sana
Hujajaribu kumcheki fb?N
Situmii fb tena mkuu ila nilitumia account ya mtu kumsearch nikakuta account ni kama haitumiki tena. No any updates
Kwamba bila kuombwa hela hutoi?[emoji28]Basi mtu kama wewe usije ukajaribu kuwa na mtu kama mimi [emoji23][emoji23]..Huombi hela? Na mimi sijigusi hataa ....utanuna mpaka unipige kibuti mwenyewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
jamaniπmy crush
Ahahahah....tuyaache haya ilaa maisha yanawabadilisha sana watu.Kwamba bila kuombwa hela hutoi?[emoji28]
πππNimecheka had nimepaliwaNlipataga mama humu moja
Comments za kipisi kali kingereza mingi
nikaona ewaa mtoto kaja Dm tukaongea mwsho namba zikatoka
Kwenda whatsap nkamtumia picha tufahamiane (that was a grave mistake)
Ving'ora vikaanza Wow wow wow
Kuja kutuma yeye nikabaki hiiiih
Sikuamini nkampgia video call La haula almanusura ntupe simu
Sjui yupo wapi saivi Aggy wa jukwaa la entertainment
Story nzuri π ππΎEnzi za Facebook imetaradadi
Nilipost kapicha kangu by that time ndyo nmemaliza advance nasubiri kwenda chuo
Mkaka mmoja akaja messenger tukaanza kuchat chat
Simu niliyokuwa nayo ikaharibika nikawa naenda kwa jirani nachat weee halafu narudisha simu
Siku hiyo akaniomba no ya simu nilikuwa na kitochi
Mahaba yakahamia huko
Tulikuwa tunachat na kuongea the whole night
Enzi za chombeza time tunaongea sanaaa
Yeye alikuwa yupo kilimanjaro Same ni muhasibu wa chuo fulani mimi nipo Arusha.
Wakati naaply chuo akasisitiza niombe vyuo vya kilimanjaro ili tuwe karibu..
Nikawzaa nimesoma kilimanjaro na Arusha kwanzia chekechea hadi advance na chuo nisome kilimanjaro......nikamuitikia tu ila vyuo nikaomba Dar
Hapo hatujawahi onana ila tumeiva kwenye hubaa na maokoto alikuwa anatuma hadi pesa ya kuapply alinitumia nikaibana maana nilikuwa na mama akalipa
Nikachaguliwa chuo dar.. alimind sana kwamba nmefanya makusudi
Baadae tukapatana vizuri hadi siku naenda Dar tukachaguliana hadi nguo za kuvaaπ€£π€£π€£
Nmefika chuo tukaendelea ila nikaona changes kwake
Kumbe kule nilikokuwa Naazima simu Kuna siku sikulogout huyo dada akaiba namba za simu kwenye chats za messenger wapo wanachat
Akampa uongo kibao kuhusu mimi hadi bwana yule akanichukiaa mwishowe tukaachana bila kuonana
Ikapita miaka bwana yule akanitafuta maana sijawahi badilisha number ndyo kunipa mkanda mzima alivyochat na jirani yangu hadi wakakutana na kunyaduana πππ
Akaomba turudiane hapo nshapata mupenzi nikamkatalia....sijui yupo wapi Johnson jamani πππ
Ni mwendo wa shuhuda tuππWeek hii ,naona mmeamua kuleta shuhuda
Umebadili gia anganiπ€£Nimeandika tu kuchangamsha genge.but hata mie sijui kuomba hela.nazunguka sana ndo niende direct