Mahusiano ya mtandaoni

Umenigusa, ngoja niweke shuhuda. Mm nlicomment page fulan ambapo mtu alkua anatafuta mke. Kaweka kigezo asiwe kibonge. Basi nikacomment akitokea anayetaka vibonge mnishtue. Watu wakalike wakacheka palee. Nakuta dm asalaam aleykum ndo nmekuja. Nkaulza wap mana kama wiki imepta skumbuk ni about post. Akasema si ulisema wanaotaka vibonge waje ndo nmekuja. Nkachukulia masihara nkamwambia asinitanie nkawaza kaz yake m na watu wanaojulikana wap na wap. Nkahisi atakua mtu wa club etc loh asalalee. Thank God nlimpa namba. Chat sana sku tunaonana nlkua na butterflies tumbon balaa sijiamin. Aliponikiss uwii😋 best kisser. Kama aliona hofu yang ilichukua mwez ndo akala tunda. He is so caring. Sijawah pendwa vile toka nazaliwa. Mapepe yote nimeacha. Mungu alinde penzi letu inshallah. Asante insta
 

Kumbe shogare ulifanikiwa kupata kibonge wako na hukutupa tips wenzio khaaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]
 
Hela unayo au hauna.......ukiwa na hela tunakuita daddddiii🤪
 
Picha wanatupiga piem sio wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanataka tuonane tukutane na vitu vya ajabu vinywaji visishuke tupaliwe [emoji2222][emoji2222]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mambo haya ni imani jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…