Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vzr sana ,pa kupotezea muda kdg siku iendeSio mbaya , jumanne hua nzito sana....tupo kuitafuta mida ya lunch
wanajeshi sio poa😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]......mbona muoga hivyo
Wala tusiende mbali mama.... Me nipo kwaajili yako. Ila tu angalizo siku ya meeting usivae vile visendo vya manyoyaNgoja waje..sie wengine tunakutanaga vituo vya daladala tunakimbiwa[emoji38][emoji38]
Ukiomba buku tu ya salio limekuishia unashangaa uko blocked[emoji38]
NB:situmii mitandao yoyote wala sijipost na sijawahi hayo mahusiano.ndo nasubiri Jf kama itanibariki haya
Mimi sina,, ndo nataka nianze hapa nachukua maujuzi😂😂🤭Tunataka na yako mamito[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji38][emoji38][emoji38]Wala tusiende mbali mama.... Me nipo kwaajili yako. Ila tu angalizo siku ya meeting usivae vile visendo vya manyoa
Hahahha😂😂😂😂Nilipewa namba yake na rafiki, sikuwahi kumuona tukafahamiana kwa kuchati watsapp.... Tukazoeana mpaka tukaja kukutana....
Ilibidi nimpotezee kwasababu niliambiwa baba yake ni mwanajeshi aliiba simu yake akasoma meseji zangu akawa ananitafuta😂
Watakuja kunisaidia wataalam kuvielezea vizuri[emoji38][emoji38][emoji38]
Visendo vya manyonya vimefanyaje
Jirani shuhuda yako please 😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maake kwanza nicheke!!!
Nipeni maji ninywe kwanza, hebu nisikitike kidogo
Huyo bado hajakua,, nataka wa kuweka nae malengo 😄😄Mshamba _hachekwi yupo single, komaa pm mama