officialaman
Member
- Sep 10, 2024
- 94
- 123
kisa chenyewe ndø kama ifuatavyo ..
Mimi nikijana mwenye miaka 20 sasa katika safari yangu ya maisha nimekuwa napitia changamoto nyingi katika masuala ya mahusiano ambapo masuala ambayo Mimi nayaona kama changamoto kwa vijana wenzangu wanaokama fursa lkn tunatofautiana ..
Kiukwelii nimekuwa nikipendwa na wasichana kiasi kwamba wenyewe ndio wanaonitongoza na kutaka kuwa na mimi kwenye mahusiano na Bora angekuwa mmoja lkn wamekuwa ni wengi ambao wanakuwa wananisumbua na kutaka kuwa na Mimi kiasi kwamba nikijenga tu urafiki na girl yeyote mwishowe anataka kuwa na Mimi. Hali hii imekuwa tangu nikiwa katika elimu yangu ya secondary ambapo ilifikia magirl wanagombana na kutukanana na kusema wanatoka na Mimi.
Sometimes unakuta nasikia watu wanasema natoka na girl fulanu na yeye anajiproud hivyo since mimi sina hisia naye wala sijamuapproach
Kwa kipndi hicho niljua ni mambo ya shule lkn hata nilivyomaliza kwa street wanawake wengi wanaonitongoza, naogopa kuchezea hisia za watu miee wataumia vibaya hata hivyo kibaya zaidi.
Naomba mnishauri nifanyaje maana imefikia pabaya wanakuja hadi home
Nafanyaje kuhusu haya? Je, nawaleft vipi hawa magirl wa namna hii waache kunisumbua kias hiki na wanakuwa wananichafulia jina sasa
Mimi nikijana mwenye miaka 20 sasa katika safari yangu ya maisha nimekuwa napitia changamoto nyingi katika masuala ya mahusiano ambapo masuala ambayo Mimi nayaona kama changamoto kwa vijana wenzangu wanaokama fursa lkn tunatofautiana ..
Kiukwelii nimekuwa nikipendwa na wasichana kiasi kwamba wenyewe ndio wanaonitongoza na kutaka kuwa na mimi kwenye mahusiano na Bora angekuwa mmoja lkn wamekuwa ni wengi ambao wanakuwa wananisumbua na kutaka kuwa na Mimi kiasi kwamba nikijenga tu urafiki na girl yeyote mwishowe anataka kuwa na Mimi. Hali hii imekuwa tangu nikiwa katika elimu yangu ya secondary ambapo ilifikia magirl wanagombana na kutukanana na kusema wanatoka na Mimi.
Sometimes unakuta nasikia watu wanasema natoka na girl fulanu na yeye anajiproud hivyo since mimi sina hisia naye wala sijamuapproach
Kwa kipndi hicho niljua ni mambo ya shule lkn hata nilivyomaliza kwa street wanawake wengi wanaonitongoza, naogopa kuchezea hisia za watu miee wataumia vibaya hata hivyo kibaya zaidi.
Naomba mnishauri nifanyaje maana imefikia pabaya wanakuja hadi home
Nafanyaje kuhusu haya? Je, nawaleft vipi hawa magirl wa namna hii waache kunisumbua kias hiki na wanakuwa wananichafulia jina sasa