siyo bahati mbaya hawa viumbe hawati kuambiwa ukweli yaani yeye anata akiweka kope ndefu umwambie amependeza auakipaka wanja kama ebotike umsifie yaani ukisema ukweli ndiyo unampiga jongoo na mti wakeNajiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
Hongera kwa kuwa kama mimi. Akirudi nayo yapige moto kabisa.Najiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
aisee kumbe tuko wengi,yaani harufu si mchezo manywele yenyewe yanaoshwa na madawa basi ni shida ni mwendo wa Mafua tu yaani tukilala huwa naomba pakuchehakuna makitu siyapendi kama hayo, yana harufu flani ya kukera si kidogo.
kama kauchuna nawe uchune tu (jikaze ) atardi akiwa na upara maisha yaendelee.
Kwanini arudi analia? Wanaume muda mwingine mnajionaga mungu watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nae, cha kufia nini Kwani umekufa na kuoza kwake??? kama ni vipi Block mawasiliano yake yote asikutafute, kama alikuwa anakupima upepo atarudi mwenyewe analia
Wanajikutaga wao ndo miungu watu.Kwanini arudi analia? Wanaume muda mwingine mnajionaga mungu watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HAMSHAURIKI MBONA TUKIJA NA HARUFU YA POMBE MNALALAMIKA.HAYO MANYWELE YENU NI SHIDA NA UKIWA NA MTOTO MDOGO YATAMLETEA SHIDA YA KUPUMUA NA ANAWEZA HATA KUPATA PUMU.MADAWA MAKALIKwanini arudi analia? Wanaume muda mwingine mnajionaga mungu watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kaachwa kisa wigiNasubiria mapovu ya TEAM MAWIGI nina nguo nataka niloweke nifue kesho [emoji23][emoji23][emoji23]
Uko ka mimi rasta na mwigi cpendiiii...Najiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
Yaani huwa wananichosha[emoji23][emoji23][emoji23] wanaona wanawake bila wanaume hawawezi kuishi, umekua msiba mpaka arudi analia[emoji23]Wanajikutaga wao ndo miungu watu.
Ya kwamba atarudi analia.
Ngoja ampate anaejua kununua hizo nywele Orignal ndo utagundua ulikuwa humtunzi mtoto wa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafurahishaga [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani huwa wananichosha[emoji23][emoji23][emoji23] wanaona wanawake bila wanaume hawawezi kuishi, umekua msiba mpaka arudi analia[emoji23]
ALIYE KUAMBIA HUWA TUNAPENDA HAYO MAKATANI NI NANI.? HAYAFAI KWA AFYA NA UKIWA NA MTOTO MDOGO NDIO MBAYA KABISAYaani huwa wananichosha[emoji23][emoji23][emoji23] wanaona wanawake bila wanaume hawawezi kuishi, umekua msiba mpaka arudi analia[emoji23]