King_Jeke_Tile
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 225
- 129
Kimtokacho mtu ndicho...... Kiukweli hupendi ndo maana likakutoka sio bahati mbaya ila umesema pasi kujiandaa!!! Lakinii ujumbe ameupata kama ako na upendo wa dhati atafanya venye Unapenda awe
Aisee nimekupenda bure,wewe ni muelewa na umelenga hisia za ubongo wangu jinsi na mpaka nilipojikuta nimefikisha ujumbe bila kufikiri ndo maana nasema niliropoka.Kimtokacho mtu ndicho...... Kiukweli hupendi ndo maana likakutoka sio bahati mbaya ila umesema pasi kujiandaa!!! Lakinii ujumbe ameupata kama ako na upendo wa dhati atafanya venye Unapenda awe
AISEE KUMBE NINA MKE BOMBA SANAWanaume jamani ukute hata hela ya saloon hutoi! Full kujishaua tu kumuuliza Mawigi yake[emoji35] [emoji35]
Unamtunza? Je unacare? Au kiherehere tu cha maswali, only kugongea free P?!!!
Ningekuwa simtunzi hayo mapesa anayochezea kununua hayo manywele angetoa wapi?pesa nyingi alafu mnanunua mauchafu,shenzi type mnanzani tunaokota hizi pesa.Wanaume jamani ukute hata hela ya saloon hutoi! Full kujishaua tu kumuuliza Mawigi yake[emoji35] [emoji35]
Unamtunza? Je unacare? Au kiherehere tu cha maswali, only kugongea free P?!!!
Daah we cheki kucha,wigs yaani inasikitisha sana mimi kwa hili Mungu anisaidie niwe primitive.HALAFU SHIDA HAPA JF WAPO WACHACHE WASOME.YALE MANYWELE NI YA NINI? ILI WAONEKANE KAMA WAZUNGU AU?
View attachment 613981
Siyo bure mzeePoa,ila nikimuomba msamaha na hizo nywele aache kutumia,nitampenda mpaka basi tu yaan
Ni kweli they sucks !!Najiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
Weee shut up!..mwanaume anayetoa pesa huwa haulizi maswali ya kijinga eti wigi blah blah!Ningekuwa simtunzi hayo mapesa anayochezea kununua hayo manywele angetoa wapi?pesa nyingi alafu mnanunua mauchafu,shenzi type mnanzani tunaokota hizi pesa.
Kimbia haraka sana ukaombe msamaha. Chokoleti, ua, pipi, na zawadi nono vinahusika.Najiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
Kwa sababu wewe ni mwanaume.shukuru Mungu kumnunulia mtu nywele wakati zake anazo hilo ni janga ujue.
Atajibu asante. Akili zao azijuaye ni Mungu tu.dawa yao ni kuwaambia dada nimependa nyweke zako/dada una nywele nzuri.. kisha subiri jibu.
Mbona fresh tu.we huoni kama umetua mzigo.mwanamke anayevaa mawigi hafaiNajiuliza sana mwisho wa picha sipati jibu,kiukweli niliropoka tu bahatimbaya.
Huw
ingekuwa ni mimi wala hata nisingewaza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kaachwa kisa wigi