Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Hahah sasa Kama nyie KE ni pasua kichwa msaidiweje, kitu kidogo tu ndio mnapata sababu ya kuachanaHeeeeee we nae mchochezi unafurahia mwenzio kuachika ovyoooo
Mkuu na wwe ni team natural, mbona unafinya nizidi kukuzimia wallahAfadhali
Team natural wahini jimbo lipo wazi hili
[emoji1][emoji2][emoji3] hamna sio hivyo, kama alikuwa anapewa penzi la dhati atarudi tu ila kama alikuwa anatafuta sababu ya kusepa Hatarudi...Kwanini arudi analia? Wanaume muda mwingine mnajionaga mungu watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha wanafurahi utafikiri za kwao...kati ya wanawake nao waona wapuuzi na wendawazimu ni hawa wanaojitwisha mizigo vichwanidawa yao ni kuwaambia dada nimependa nyweke zako/dada una nywele nzuri.. kisha subiri jibu.
Yapyap Niko team naturalMkuu na wwe ni team natural, mbona unafinya nizidi kukuzimia wallah
Yaaaani even U make me madly like you ......Yapyap Niko team natural
kilicho nikera zaidi anashonea kabisa kichwani aisee kuoshwa zenyewe hazioshwi ebwana eeh uvumilivu ulinishinda nikamchania sa ndo kamaindi eti..
Ila wadada kumsifia wema ni mzuri uwaga mnakosea sana kwakweli...wema ni nyota tu ila uzuri hamna kitu...mawigi ht mimi kwa kweli naonaga kero tu..hayapo natural..HALAFU SHIDA HAPA JF WAPO WACHACHE WASOME.YALE MANYWELE NI YA NINI? ILI WAONEKANE KAMA WAZUNGU AU?
View attachment 613981
Hujali nini kwani we baba ake?embu acheni kujiendekeza...k.zenyewe siku hizi kibao nani wa kujali mwanamke mwenye mawigi uache mtoto natural ukurupuke tu unagharamia mtu akanunue mawigi ya bluu[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume jamani ukute hata hela ya saloon hutoi! Full kujishaua tu kumuuliza Mawigi yake[emoji35] [emoji35]
Unamtunza? Je unacare? Au kiherehere tu cha maswali, only kugongea free P?!!!
Kuna ujinga zaidi ya kubandika nywele feki?, hatupendagi ujinga sie
Siku nyingine kuwa makini, mwanamke usimwambie ukweli just kumzumguka, baadae yeye mwwenye ataelewa nini unamaanisha