Kwa sababu wewe ni mwanaume.
Nijibu hili, Wanawake wawili wenye haiba (sura) sawa:
☆ Mmoja ana nywele za singa zilizoanguka mpaka makalioni huko nyuma.
☆ Mwengine ana kipilipili kisichopita shanuo.
Wanaume 100 (vijana rijali wa kibongo) wanaambiwa wachague ni yupi kati ya wale warembo wawili watataka kuwa nae katika jioni ya matumbuzi. Unafikiri ni wangapi wangemchagua:
1. Nywele ndefu? =wale wa show off
2. Kipilipili?