Mahusiano yangu yamekufa rasmi Valentine Day

Status
Not open for further replies.
Hahaha watu tena wanaume wenzangu na viroja vya kuomba ushauri katika very opened environment. Kweli hata akili yako haikupi direction na maamuzi ya kiume katika hali hii mpaka uombe ushauri kweli.?
Mitandao ya kijamii inadumaza akili za curent graduates kwa kasi ya ajabu sana.
 
Sasa umemuacha kwanni?
 
Huyo anatoa ndogo amka buda unapigwa kanzu, chunguza akupe dog Style ndio utajua hujui
 
Nini malengo yako na huyo bibie? Kama ni chapa ilale brodaa we endelea tu kusugua hiyo manzi kibabe…kama wataka wife then achia tu jimbo
 
Acha yafe tu hata hayanogi.

Umeona amepewa mzigo popote?

Yaani anakuwa mpenzi mlalamikaji kula wanakula wengine.
Mzigo nmekula sana na hakuwa mvivu kwenye kutoa mzigo sema sikuona haja ya kusema sababu walio wengi wanaelewa ukiwa kwenye mahusiano mambo yapi yanafanyika
 
Yaani wewe hufai hata kuoa mzee baba
Kwanza una kesi ya ubadhilifu wa hela za ofisi ya mdada..
Ha ha ha ha mwenye ofisi mwenyewe alitaka niendelee kuwepo pale maana ofisi iliimarika mara dufu
Sema hakuwa mpiga vizinga
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…