Mahusiano yangu yamekufa rasmi Valentine Day

Mahusiano yangu yamekufa rasmi Valentine Day

Status
Not open for further replies.
Mkuu anapenda sana kupekenyua message za simu ya mpendwa wake! Kila saa 'nikakuta Meseji hii!'
Huo muda unapata wapi??
Utoto
Ukishaona signs toka nduki tu kama huwezi kula na wenzio sio hizo drama drama za kichoko.
 
Mwana kulifind Mwana kuliget, we umeingia kwenye mahusiano na dada tena unasema mzuri ulitegemea alikua hana mtu.Haya umepekenyua ukamkuta ana mtu afu mtu mwenyewe kaoa, why usikomae kuhakikisha anaachana naye.Bro wako wengi kuliko sisi lkn wote wana watu so ukiingia unakomaa ww uwe main tu.
 
Yaani umepewa ofisi ushike badala ya kupambana upate yako umeingia kichwa kichwa kwenye mapenzi


Halafu una wivu unadhani huyo binti ulimkuta single.....

Anyway


Pole
 
Kwanza; Uyo demu ni malaya (sorry kwa kutumia kauli mbaya kidogo) kwa maana haridhiki na mwanaume mmoja na ni mtu wa materials sana (kupewa nyama n.k). Utaporudiana nae kubaliana na hali ya kuunga tela.

Pili; Kuhusu hiyo NB yako, huwa wanasema husifuatilie simu ya mpenzi wako ila kwangu ni tofauti. Huwa nafuatilia kila napopata nafasi sababu kuu nilikoswa koswa kuambukizwa UKIMWI hivi hivi bila kua mpekuzi wa simu yake. Kamwe sitoacha kufatilia simu ya mpenzi wangu hasa akibadilika tabia na ni mtu wa kuachana pindi napomfuma amenicheat,sinaga second chance kama ufanyavyo wewe.
 
Bora wewe, mimi nikisema yaliyonikuta leo unaweza mrudia huyo dem wako sasa hiv
umenikumbusha ukimwelezea mtu shida yako anakujibu, la kwako dogo, ningekuahidithia ya kwangu utalia

inabidi utulie tu uondoke

watu tunabishania matatizo yetu

hahahahhahaha
 
Yaani umepewa ofisi ushike badala ya kupambana upate yako umeingia kichwa kichwa kwenye mapenzi


Halafu una wivu unadhani huyo binti ulimkuta single.....

Anyway


Pole
Saiz nipo kazini
 
umenikumbusha ukimwelezea mtu shida yako anakujibu, la kwako dogo, ningekuahidithia ya kwangu utalia

inabidi utulie tu uondoke

watu tunabishania matatizo yetu

hahahahhahaha
Matatizo ni kama ugonjwa, kujidai unaumwa mafua alafu unasema umezidiwa sana wakati wenzio tuna kansa ila tumekaa kimya tu hiv uoni hapo tukisema na sisi tuseme yetu utapona ghafla ayo mafua yako?
 
Matatizo ni kama ugonjwa, kujidai unaumwa mafua alafu unasema umezidiwa sana wakati wenzio tuna kansa ila tumekaa kimya tu hiv uoni hapo tukisema na sisi tuseme yetu utapona ghafla ayo mafua yako?
kwa kweli, watu tunaugulia na yetu hapa na tushakuwa sugu
 
Hahaha watu tena wanaume wenzangu na viroja vya kuomba ushauri katika very opened environment. Kweli hata akili yako haikupi direction na maamuzi ya kiume katika hali hii mpaka uombe ushauri kweli.?
Mitandao ya kijamii inadumaza akili za curent graduates kwa kasi ya ajabu sana.
Inawezekana ikawa dawa, labda huko nyuma vijana walikuwa wanajitundika, ila uwezo wa kutafakali, kuamaua na kuchukua hatuau unapungua sana...Nafikili aachane nae tu maana hatamafaa huko mbeleni.
 
Ha ha ha.....
Nmesoma yote, SEMA mkuu ulikosea kitu flani[emoji4]
 
Pole sana Aiseeh....wanawake sjui tunakuaga na shda Gani wakati mwngne [emoji1751]
 
Kwanza; Uyo demu ni malaya (sorry kwa kutumia kauli mbaya kidogo) kwa maana haridhiki na mwanaume mmoja na ni mtu wa materials sana (kupewa nyama n.k). Utaporudiana nae kubaliana na hali ya kuunga tela.

Pili; Kuhusu hiyo NB yako, huwa wanasema husifuatilie simu ya mpenzi wako ila kwangu ni tofauti. Huwa nafuatilia kila napopata nafasi sababu kuu nilikoswa koswa kuambukizwa UKIMWI hivi hivi bila kua mpekuzi wa simu yake. Kamwe sitoacha kufatilia simu ya mpenzi wangu hasa akibadilika tabia na ni mtu wa kuachana pindi napomfuma amenicheat,sinaga second chance kama ufanyavyo wewe.
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha yakukute.

Wewe si ulifilisi ofisi ya mdada ukaanza kupendeza na umesema mwenyewe nguvu za kiume ndo zikarudi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom