Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
UtotoMkuu anapenda sana kupekenyua message za simu ya mpendwa wake! Kila saa 'nikakuta Meseji hii!'
Huo muda unapata wapi??
umenikumbusha ukimwelezea mtu shida yako anakujibu, la kwako dogo, ningekuahidithia ya kwangu utaliaBora wewe, mimi nikisema yaliyonikuta leo unaweza mrudia huyo dem wako sasa hiv
Matatizo ni kama ugonjwa, kujidai unaumwa mafua alafu unasema umezidiwa sana wakati wenzio tuna kansa ila tumekaa kimya tu hiv uoni hapo tukisema na sisi tuseme yetu utapona ghafla ayo mafua yako?umenikumbusha ukimwelezea mtu shida yako anakujibu, la kwako dogo, ningekuahidithia ya kwangu utalia
inabidi utulie tu uondoke
watu tunabishania matatizo yetu
hahahahhahaha
kwa kweli, watu tunaugulia na yetu hapa na tushakuwa suguMatatizo ni kama ugonjwa, kujidai unaumwa mafua alafu unasema umezidiwa sana wakati wenzio tuna kansa ila tumekaa kimya tu hiv uoni hapo tukisema na sisi tuseme yetu utapona ghafla ayo mafua yako?
Inawezekana ikawa dawa, labda huko nyuma vijana walikuwa wanajitundika, ila uwezo wa kutafakali, kuamaua na kuchukua hatuau unapungua sana...Nafikili aachane nae tu maana hatamafaa huko mbeleni.Hahaha watu tena wanaume wenzangu na viroja vya kuomba ushauri katika very opened environment. Kweli hata akili yako haikupi direction na maamuzi ya kiume katika hali hii mpaka uombe ushauri kweli.?
Mitandao ya kijamii inadumaza akili za curent graduates kwa kasi ya ajabu sana.
Kunywa vant Mkuu umenena vemaHakuna mahusiano hapo kaa kitaalam kula mbususu kwa wakati wako kukata genye! Ila hamna kitu hapo
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmlessKwanza; Uyo demu ni malaya (sorry kwa kutumia kauli mbaya kidogo) kwa maana haridhiki na mwanaume mmoja na ni mtu wa materials sana (kupewa nyama n.k). Utaporudiana nae kubaliana na hali ya kuunga tela.
Pili; Kuhusu hiyo NB yako, huwa wanasema husifuatilie simu ya mpenzi wako ila kwangu ni tofauti. Huwa nafuatilia kila napopata nafasi sababu kuu nilikoswa koswa kuambukizwa UKIMWI hivi hivi bila kua mpekuzi wa simu yake. Kamwe sitoacha kufatilia simu ya mpenzi wangu hasa akibadilika tabia na ni mtu wa kuachana pindi napomfuma amenicheat,sinaga second chance kama ufanyavyo wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahAcha yakukute.
Wewe si ulifilisi ofisi ya mdada ukaanza kupendeza na umesema mwenyewe nguvu za kiume ndo zikarudi?
πππππHapo kwenye NB
Unataka tukimbilie simu za wapenzi wetu ili tulete Uzi humu?
Pepo tokaπ..
Ushindwe na ulegee.