Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
🤝Ndio maana wanaume wanao-ona mbali, hawatafuti pisi kali, wanatafuta wale wa kawaida ili kuzuia kupukutisha uchumi.
Mara nyingi mwanaume akishakuwa na hela, kichwa kinaenda kwa spidi; asipofikiria vizuri, hela imeshakataMwanaume akiwa na million 5 isiyo na kazi lazma aweke bajeti ya kuhonga mdada, Mdada akiwa na million 5 isiyo na kazi, hatatumia iyo hela kumhonga mwanaume yoyote, atawaza hela nyingine atapewa na mwanaume yupi
Muhimu ni kuwa makini tuBig up aisee kweli kabisa mkuu afu dada zetu ana kama wanne ila anapima kwenye mizani unakuta kuomba penzi izo kalenda nyingi mpaka mwenyewe unachoka au kukata tamaa.
Mbona furaha tele
Tusio maslay queen tumekumbukwa hatimayeMbona furaha tele
ha ha ha nyie ni waifu matirio kabisaTusio maslay queen tumekumbukwa hatimaye
Kama hana mwelekeo mzuri, achana nayeNgoja niachane na huyu binti
Hatari sana, kwa hiyo sasa hivi anakula mihogo tuKuna mwamba kateketeza 50K na mbususu hajala last saturday
Uwatakii mema wanaume wewe; jiulize, kwa nini nyakati hizi watu wanajiongeza maumbile kwa spidi kubwaUsiwapangie matumizi mkuu kila mmoja ashinde mechi zake!
🤣🤣Tusio maslay queen tumekumbukwa hatimaye