Mahusiano yetu bila Maxence Mello hayatadumu!

Mahusiano yetu bila Maxence Mello hayatadumu!

Kupambana kuko kwa aina nyingi, hata Mandela kupambana kwake ilikuwa ni kukataa "kuachiliwa" kama kuachiliwa kwake kulikuwa na sharti kwamba akitoka jela asijihusishe na mapambano dhidi ya Makaburu. Kuna watu wanadhani mapambano ni lazima tuingie barabarani tukiwa na mabango. Ni kweli lakini kwa sasa haijafikia kiwango cha kwenda barabarani lakini ikibidi tutakwenda.

Sky Eclat katoa hoja ya msingi sana, hapo ulipo simama kama ulivyo uwezavyo. Tukisema tuingie barabarani siye tulioko Iringa wenzetu wa Dar watasema kuwa tunawategea!!
hhahhahahhaha, sasa tufanyeje? naona kama hawanioni nimesimama hapa kwa ofisi yangu
 
hhahhahahhaha, sasa tufanyeje? naona kama hawanioni nimesimama hapa kwa ofisi yangu
Malcom X na Martin Luther King Jr hawakuanza kuwaambia watu waingie barabarani, bali kwanza walieleza ni kwa nini wanapinga mfumo uliopo. Nchi hii tatizo si Magufuli pekee bali na mfumo unaombeba awe kama alivyo, yaani katiba imempa Rais (Siyo Magufuli) mamlaka na madaraka yasiyohojika popote pale. Kuupinga mfumo ni mchakato na siyo tukio.
 
Malcom X na Martin Luther King Jr hawakuanza kuwaambia watu waingie barabarani, bali kwanza walieleza ni kwa nini wanapinga mfumo uliopo. Nchi hii tatizo si Magufuli pekee bali na mfumo unaombeba awe kama alivyo, yaani katiba imempa Rais (Siyo Magufuli) mamlaka na madaraka yasiyohojika popote pale. Kuupinga mfumo ni mchakato na siyo tukio.
mimi nko nae sambamba aisee, haswaaa na anatakiwa aendelee kuwa strong hivyo hivyo
 
Hapo sasa. Binafsi sioni hata hizo tags zinasaidia nini

Tags zina-raise awareness ili pande zingine duniani waelewe kinaendelea nini na pengine kuingilia kati. Ila nadhani ingefanyika kwenye mitandao kama Twitter, Facebook, Insta ingeleta maana zaidi kwa sababu ni mitandao ya kidunia.

Binafsi sipendezwi tu na hizi habari za kuwa jamaa anapitia anayopitia kwa ajili yetu. Wengi wanasahau kuwa JF ni biashara ambayo mfanyabiashara yeyote makini angeilinda kwa nguvu zote.
 
Tumo humu kujadiliana mambo ya mahusiano kwa kuwa kuna mtu anaitwa Maxence Melo na wenzake usiku na mchana wanahangaika tuwe humu tena tukiwa salama. Melo kakamatwa na bado anashikiliwa na Polisi. Haya mahusiano yetu hayatadumu kama Melo ataamua kusalimu amri.

Sote tusimame pamoja kuzuia mahusiano yetu na Melo yasivunjwe!

[HASHTAG]#freemaxencemello[/HASHTAG]
Already free

Cc Maxence Melo
 
Tags zina-raise awareness ili pande zingine duniani waelewe kinaendelea nini na pengine kuingilia kati. Ila nadhani ingefanyika kwenye mitandao kama Twitter, Facebook, Insta ingeleta maana zaidi kwa sababu ni mitandao ya kidunia.

Binafsi sipendezwi tu na hizi habari za kuwa jamaa anapitia anayopitia kwa ajili yetu. Wengi wanasahau kuwa JF ni biashara ambayo mfanyabiashara yeyote makini angeilinda kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom