Mahusiano yoyote yaliyovunjika mwanaume atabaki kuwa ndio mshindi

Mahusiano yoyote yaliyovunjika mwanaume atabaki kuwa ndio mshindi

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Habarini humu ndani.

Mimi ninashangaa sana wanaume wanakesha kulialia kisa kuachwa, unaanzaje kulia baada ya kuachwa na mwanamke.

Amini usiamini, mwanaume hana cha kupoteza kwenye mahusiano kama mwanamke, ukiachwa usisumbuke fanya yako ataenda kuzurura weeee mwisho atarudi tu.

Kwanza akikuacha ndio vizuri, kajipotezea muda mwenyewe, kajichezea mwenyewe, kajidhalilisha mwenyewe weeee wasiwasi wa nini.?

NB: Muache aende atarudi tu
 
Mkuu kinachotufanya tulie sio mwanamke,,
Wanawake wapo wengi mkuu..
Tatizo nitapata wapi mwenye uwezo kama yule?
--- Anajuwa kuongea na microphone vizuri sana na kutuma salamu kwa ndugu na jamaa.
-- Anajuwa kucheza na jukwaa .
-- Sauti yake ya kushangilia ni hatari tupu..
-- Unapokaribia safari yako hukupokea kwa nderemo na vifijo..
-- Waoo., baby waoo,,

Sio kila mwanamke ana sifa hizo..

Maumivu ni pale unapoona raha zile atapewa mwingine..
 
Tatizo sio kuachwa kinachoumiza ni sababu za kuachwa..... Hata hivyo wanawake huwa wanawakumbuka Sana wenzi wao wa zamani pale wanapokutana na vitu tofaut Kwa wenzi wapya hasa ukosefu wa furaha ......
True
 
ni rahisi kwa alokwisha umizwaaa ama alozoea michezo ya kuachwa/achana. Kwa mgeni kwenye mahusiano anaweza akachukia uhusiano moja kwa moja ama akalipiza kisasi
 
BRO USIOMBE X WAKO AKUBLOCK ALAFU UJUE MDA HUO ANALIWA
 
Uchungu huwa hapa zaidi 😂 imagine umeachwa ghafla hauna spare tyre. Uchungu lazma uwe mkali.

Ila ukiwa ume diversify mapenzi aah unakuwa freshi tu tena with full balance. Huwezi kumlilia manzi kama una choice nyengine
Kwanza huwezi jua kama umeachwa mpaka upate sms au usikie ana mpenzi, ila ukiwa wale wa moyo wangu ni wako ufanye utakavyo ndo utaishia kuimba nyimbo za mapenzi kwa hisia kama mleta mada wetu hapa.
 
Back
Top Bottom