Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeeMkuu kinachotufanya tulie sio mwanamke,,
Wanawake wapo wengi mkuu..
Tatizo nitapata wapi mwenye uwezo kama yule?
--- Anajuwa kuongea na microphone vizuri sana na kutuma salamu kwa ndugu na jamaa.
-- Anajuwa kucheza na jukwaa .
-- Sauti yake ya kushangilia ni hatari tupu..
-- Unapokaribia safari yako hukupokea kwa nderemo na vifijo..
-- Waoo., baby waoo,,
Sio kila mwanamke ana sifa hizo..
Maumivu ni pale unapoona raha zile atapewa mwingine..
Hivyo tu mkuu..Kumbee
Kwa Wanawake hivyohivyo hakuna wanachokipoteza.Ni kweli mwanaume hana cha kupoteza
Kam Huna hela.Maan ukiwa na excess cash... Utajipoooza kwa pisi Kali(tuma na ya KUTOLEA)Kuachwa ni kubaya kama huna replacement.
HahahaKam Huna hela.Maan ukiwa na excess cash... Utajipoooza kwa pisi Kali(tuma na ya KUTOLEA)
Duh!MSELA WA MANZESE ndio bingwa wa kulilia mapenzi tangu JamiiForums ilipoanzishwa
Duh! Hii yenyeweUkishinda na ukimwi na gono juu nao ni ushindi
Kweli kabisa [emoji847]Hivi unaanzaje kuumia kuachwa na mwanamke omba omba Hana Cha maana tofaut na K yake,acha asepe Hana msaada wowote