Mahusiano

Hapana aisee. . . bora niogope niponee chupu chupu. Wanaume wenyewe ukisema unataka waliotulia wenyewe wanadai hamna. . . ya nini matatizo?
Raha ya ngoma uingie ucheze mwenyewe..lol
 
kungekuwa na uwezekano wa kusoma moyo wa mwenzako, pangechimbika
 
Hapana aisee. . . bora niogope niponee chupu chupu. Wanaume wenyewe ukisema unataka waliotulia wenyewe wanadai hamna. . . ya nini matatizo?
ukitaka aliyetulia utasubiri mpaka uzee ukukute, cha maana ni kama anakupenda
 

mapenzi hayana formula kamili! Cha muhimu ni kubadilika kulingana na yanavyotaka! Namaanisha kuna wakati yatakuwa matamu au machungu ila bado utayaita mapenzi maana hayatakuwa na jina lingine tena
 
Ni kubadilika kutokana na wakati kila siku najifunza mwenzio na macho yote nikiwa nimefungua lakini bado najikwaa kweli hamna mwalimu wa mapenzi.
 
Hata kuangalia ni burudani tosha.

Sasa si bora uzee unikute kuliko mtoto wa mtu anipeleke kaburini kabla hata sijaozesha mwa/wanangu?
wewe ingia tu, uzuri ni kwamba hakuna aliyekufa kwa kuachwa/kuumizwa, waliofanya hivyo ni walijiua.
 
Ni kubadilika kutokana na wakati kila siku najifunza mwenzio na macho yote nikiwa nimefungua lakini bado najikwaa kweli hamna mwalimu wa mapenzi.

mwalimu wa mapenzi ni mpenzi wako ulienae tu! Kama unajifunza halafu humfundishi unakuwa unafanyia kitu kinaitwa kalai! Inabidi wote mjifunze pamoja na mpeane homework za kutosha!
 
Ila wapo waliokufa kwa magonjwa waliyoletewa, wengine wanahesabu siku tu.
tungekuwa tunawaza hayo, dunia ingeshaacha mahusiano zamaaaaaaaaaaaaaani, na soon binadamu wangeishia hapa duniani
 
tungekuwa tunawaza hayo, dunia ingeshaacha mahusiano zamaaaaaaaaaaaaaani, na soon binadamu wangeishia hapa duniani

Kwasababu wote hatuwazi hivyo hamna ubaya. . . wa kuokoa kizazi wapo, na waoga tupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…