The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Raha ya ngoma uingie ucheze mwenyewe..lolHapana aisee. . . bora niogope niponee chupu chupu. Wanaume wenyewe ukisema unataka waliotulia wenyewe wanadai hamna. . . ya nini matatizo?
kungekuwa na uwezekano wa kusoma moyo wa mwenzako, pangechimbikaBecause love is dangerous, insecure.... And nobody knows where love will lead. It is just like a cloud -- moving with no destination. Love is a hidden cloud, whereabouts unknown. Nobody knows where it is at any moment of time. Unpredictable -- no astrologer can predict anything about love.
ukitaka aliyetulia utasubiri mpaka uzee ukukute, cha maana ni kama anakupendaHapana aisee. . . bora niogope niponee chupu chupu. Wanaume wenyewe ukisema unataka waliotulia wenyewe wanadai hamna. . . ya nini matatizo?
uzuri ni kwamba kuna kusahau, so mara moja unaumizwa baadae unasahauRaha ya ngoma uingie ucheze, we jidumbukize as if hamnaga kuumizwa
Hivi jamani mahusiano magumu sana,
Wakati mwingine unaona umeula your the luckiest woman,
Unaona kama dunia umeiweka mkononi,
Wakati mwingine unajiona looser tu,
kama huna thamani yoyote duniani,
wakati mwingine unapenda kuwa benet na partner wako kila mahali ,
wakati mwingine unaona bora uwe peke yako,
wakati mwingine unapenda anavyoongea,
wakati mwingine akiongea unamuona kama analalama,
wakati mwingine unamwona anapendeza mzuri sana,
wakati umechukia unamuona kama kituko fulani hivi
hivi mwalimu wa mahusiano ni nani,mi naona hakuna
mwalimu ni wewe mwenyewe, kutatua matatizo yako
kuongea na mwenzako kwa kila linalokukera
embu tupeane uzoefu ndugu zangu
nawatakia siku njema
Falling inlove is a dangerous game. . .
Sometimes I want to, sometimes i'm afraid to!!
Raha ya ngoma uingie ucheze mwenyewe..lol
Sasa si bora uzee unikute kuliko mtoto wa mtu anipeleke kaburini kabla hata sijaozesha mwa/wanangu?ukitaka aliyetulia utasubiri mpaka uzee ukukute, cha maana ni kama anakupenda
try another alternative lizzy!
Ngoja nijiimbie mimi. .
Kuimagine/dream ni rahisi na raha zaidi maana hamna maumivu ya moyo wala disappointment.
What other alternative J?
wewe ingia tu, uzuri ni kwamba hakuna aliyekufa kwa kuachwa/kuumizwa, waliofanya hivyo ni walijiua.Hata kuangalia ni burudani tosha.
Sasa si bora uzee unikute kuliko mtoto wa mtu anipeleke kaburini kabla hata sijaozesha mwa/wanangu?
this is what we call clairvoyance!
u want me to show u another alternative?
Ni kubadilika kutokana na wakati kila siku najifunza mwenzio na macho yote nikiwa nimefungua lakini bado najikwaa kweli hamna mwalimu wa mapenzi.
wewe ingia tu, uzuri ni kwamba hakuna aliyekufa kwa kuachwa/kuumizwa, waliofanya hivyo ni walijiua.
tungekuwa tunawaza hayo, dunia ingeshaacha mahusiano zamaaaaaaaaaaaaaani, na soon binadamu wangeishia hapa dunianiIla wapo waliokufa kwa magonjwa waliyoletewa, wengine wanahesabu siku tu.
tungekuwa tunawaza hayo, dunia ingeshaacha mahusiano zamaaaaaaaaaaaaaani, na soon binadamu wangeishia hapa duniani
safi sana, ngoja sisi tuendelee, kwa raha zetuKwasababu wote hatuwazi hivyo hamna ubaya. . . wa kuokoa kizazi wapo, na waoga tupo.
Ohh puhleeeez!!
Yeah. . . I wanna know.