Mahusiano!!!!

ha ha ha hapo kwenye nyekundu usiwe na shaka!! hapo kwenye blue yaani baada ya kujengewa nyumba na kununuliwa gari ndo anajisikia vibaya dah kweli mabinti wa siku izi!

Afadhali maana nilishajua kibarua kimeota mbawa.

Kimey my dia huyu dada katika kubanwa sana amedai kuwa anataka kurudisha kila kitu kwani uwezo wa kujitunza anao kwa kuwa ana kazi nzuri na nyumba yake anayo aliyojenga kwa pesa zake!!

Kusema ukweli mimi nimeshindwa kumuelewa. Pengine kweli wokovu umemtembelea.
 
ha ha ha hapo kwenye nyekundu usiwe na shaka!! hapo kwenye blue yaani baada ya kujengewa nyumba na kununuliwa gari ndo anajisikia vibaya dah kweli mabinti wa siku izi!

aseme alichokitafuta kakipata basi

angeomba ushauri wakati ule mume wa mtu anamtongoza (if at all alitongozwa maana kuna uwezekana yeye ndo alimtokea mtu mzima na mavumba yake.....)
 
kufika sa mbi;li sijui nn si tatizo tatizo ni kwamba y has she to do that?I knw kwa watu wanaopenda mteremko watamsapot huyu mvunja ndoa ya mwenzie,HANA LOLOTE
 
...😀 eti uchafu!
Kwenye mapenzi kuna uchafu jamani?


ndo watu wanavofikiria kwen utopia! si ajabu ukawakuta wenyewe kwa wenyewe wanaoneana kinyaa..eti uchafu...halafu watu wanaanza kununiana....
 


ndio kwanza akifanikisha hilo zoezi wengine wanacal kabisa kudhibitisha yupo na mumeo, yalikuwa yanamtokea sana sis wangu haya....well said mr, hapo bandika bandua tu...maradhi hayatoisha kamwe.
 
nimeshindwa kujizuia wewe twin
nimecheka utadhani mazuri. sasa ukimchukia kwani itampunguzia nini twin? ila kweli hapo kwenye kumsemelezea ningekusindikiza
afu mbona hupokei cm ntanuna mimi

Uje naye kabisa kwen kuvunja kamati binamu!
 
Sasa debate inayoendelea ni either aendelee naye (yaani asimwache huyo mume) na wengine wanamshauri aendelee.

Hebu ingieni mkasome na nyinyi acheni uvivu ahg!
 
Mimi ni binti wa miaka kadhaa, nina mtoto mmoja lakini nimezaa na mume wa mtu.

- Juta mpaka kufa: Umeharibu maisha ya familia ya mwanamke mwenzio - hakika wanawake hampendani!

natamani kuachana nae,
- Umepata sasa unataka kutimka: Malipo hapa hapa DUNIANI!

mimi na mheshimu sana mkewe. amekuwa akifanya vitu kwangu na kwa mkewe kwa usawa.
w.t.f

ninacho mkataza ni kulala kwangu. na kukaa kwangu zaidi ya saa 2 usiku. huwa namwambia awahi nyumbani kufanya home work na watoto.
- Kwako - kwenu (nyumba umejenga wewe?)
- Unataka kulala na shamba boy? hiyo mimba alivyokupa ilikuwa "short time"?
- Mtoto uliyezaa naye anafanya "home work? na nani?
kinachonitatiza ni kuwa nataka niachane nae huyu mtu. Roho inaniuma naona kama nitakuwa simtendei haki. Najua nitamwathiri sana.
- Unamwita "huyu mtu" nadhani umeshaachana naye tayari : kumbuka kama hamjaathirika basi wewe hautamwathiri tena - better leave the man alone aendelea na maisha yake!
 
ndio kwanza akifanikisha hilo zoezi wengine wanacal kabisa kudhibitisha yupo na mumeo, yalikuwa yanamtokea sana sis wangu haya....well said mr, hapo bandika bandua tu...maradhi hayatoisha kamwe.


yaani nashangaa Mrs wangu kwa kweli..au mi ndo sijui principles? sasa huyu ako eti 'saa mbili sasa nenda nyumbani' akisingizia homework za watoto? wapii!

hebu twen zetu kwen kikao luv....
 
aseme alichokitafuta kakipata basi

angeomba ushauri wakati ule mume wa mtu anamtongoza (if at all alitongozwa maana kuna uwezekana yeye ndo alimtokea mtu mzima na mavumba yake.....)
Ha ha ha mamie watu wapo kibiashara zaidi dah......kama sikosea atakua keshapata kiserengeti hapa anataka kula nacho maisha kwenye nyumba ya mzee!!
 

unajua hii ndiyo picha halisi ya maisha. mmomonyoko wa maadili ya familia unapelekea msururu wa vituko na matatizo, hapo kuna tatizo na vizazi vya matatizo vinafuatana. inaonekana dadaa kishashtuka kuwa ni msindikizaji tu, lakini ana courage kwani licha ya kuwa nyumba ndoo kavuna si haba, numba gari , simu, safari za nje nk. zaidi amepata toto ambaye ndicho chambo cha kumlazimisha kumtunza hadi mwisho wa maisha yake. na nina wasiwasi kuwa mume akiambiwa amuache ananyong'onyea kwa sababu ya "uwekezaji" huu anaona akimwacha mwanume mwingine akamchukua watafaidi mali zake bureee. just imagine nyumba umejenga wewe halafu ikifika saa mbili unaambiwa ondoka. lazima itakuwa inamuuma sana japo anajitahidi asimuonyeshe...............

nionavyo, kama wasiwasi wangu utakuwa kweli, msishangae huyo bwana akimuua huyo mwanamke ikiwa ataendeklea kung'ang;ania kumuacha na kisha ahisi mahusiano na mwanmume mwingine, hapao ndpo mtakapojua haya mambo si ya kuchezea..............
 

kuchuna huku na kupeleka kwenye ujenzi nako ni uwezo...hana lolote bwana yeye akubali rafu tu, na mtoto pia atamrudishia babake na yeye alirudishiwe ubinti wake?
 
Sasa debate inayoendelea ni either aendelee naye (yaani asimwache huyo mume) na wengine wanamshauri aendelee.

Hebu ingieni mkasome na nyinyi acheni uvivu ahg!

mmh..ngoja ....hivi si ndo hoja umetuwekea jamani..browser yangu inafungua JF tu bas😀
 
Binti asiangalie pesa,nyumba na magari hata hizo trip za nje
Cha msingi hapo aangalie maisha yake sidhani kama hilo penzi na mme wa mtu litatudumu milele
na kama ameamua kuachana nae haina haja ya kutuuliza ni kufanya maamuzi mapema.
Kama tukimwambia asiachane nae ina maana ataendelea nae ?
na kama tukimwambia aachane nae ndo ataachana nae ?
Aangalie future yake na moyo wake unamtuma nini
Dada kumbuka kuiba vya wenzio na wewe iko siku utaibiwa na utajua uchungu wake
 
kuchuna huku na kupeleka kwenye ujenzi nako ni uwezo...hana lolote bwana yeye akubali rafu tu, na mtoto pia atamrudishia babake na yeye alirudishiwe ubinti wake?
ha ha ha umenichekesha sana....hizi ndo mbinu wanazopenda kutumi si anajua Jamaa hawezi kumdai wala vizibiti hana!! gari nyumba vyote majina yake!!
 
Kwa kifupi binti kalizika na vitu anavyoletewa na kuhongwa na jamaa kwanini ashindwe kumuacha basi? Kama wanamaanisha kweli na kweli jamaa ana uwezo wa kugawa moyo wake kiutaalamu kiasi hicho basi wamwambie Bi mkubwa naye ajue sio ina kuwa siri yao tu. Upendo wa kweli hapo hakuna ni kudanganyana tu na kutumiana na sio kwa mtu mmoja tu ni wengi siku hizi, yaani mmomonyoko wa maadili unatisha sana mtu yuko tayari kuwa kimada yaani anajua fika kuwa mwanaume ana mtu mwingine lakini yeye yuko tayari kuwa spare tyre huu ni udhaifu mkubwa pia
 
kuchuna huku na kupeleka kwenye ujenzi nako ni uwezo...hana lolote bwana yeye akubali rafu tu, na mtoto pia atamrudishia babake na yeye alirudishiwe ubinti wake?

eti uwezo anao ...uwezo my foot!!!

Ha ha ha mamie watu wapo kibiashara zaidi dah......kama sikosea atakua keshapata kiserengeti hapa anataka kula nacho maisha kwenye nyumba ya mzee!!

sasa biashara imeshazaa faida anataka ku-wind up kampuni sio!!!
 
kuchuna huku na kupeleka kwenye ujenzi nako ni uwezo...hana lolote bwana yeye akubali rafu tu, na mtoto pia atamrudishia babake na yeye alirudishiwe ubinti wake?

Huu ni mojawapo wa ushauri alopewa .........
Nyie wanawake acheni ujinga! Mdada mwenye topic nakushauri kaa na huyo baba na endelea kula uroda na mtoto ongeza, siku hizi kuna Ndoa? Au mnadanganywa tu! Huyo anayesema unakubali kushea mkuki (hapa nimeondoa neno halisi) tena hiyo anayofikiria yeye kuwa ni ya kwake peke yake basi ndio inaingizwa kwa zaidi ya wanawake watatu kwa taarifa yake. Siku hizi mapenzi ni makbaliano tu. Hakuna mwanaume anaeingiza kwenye xxxx 1. Tena ukitoka kwa huyo baba hutakaa mpate ambae atakujali na kukutimizia kama huyo, au unafikiri ukiolewa ndio huyo atakae kuoa atakuwa wa kwako peke yako? nae atakuwa na wa pembeni (mwenzio) kama ulivyo wewe kwa bimkubwa wako. Hakuna cha Ukristu wala Uislam siku hizi tena hao Wakiristu ndo wanawake zaidi ya watano, mfano ninao kwa kaka zangu, na ni wakristu. Mama X wewe jifariji kama tu ukidhani ni wa kwako peke yako, Halooooooo

Nimechoka

Mwingine amesema ......

Nimerudi babaT , na ninasema hivi wote mnaomshambulia huyu dada ni wale wachache, waoga, msiojiamini.HII NDIO HALI HALISI SASAHIVI MTAKE MSITAKE,. mikuki mtaendelea kushare tu tofauti ni kuwa wengine mnajua mnashare wengine hamjui tu. Sasa mnaosema eti sijui kakunulia vitu, kakulea, leo unamuacha , umempata mwingine, si mseme tu kwa ufupi kuwa aendelee tu kupeana naye company, walee mtoto mradi amheshimu mke mwenzie? mbona mnazungusha sana mambo.

Nyumba ndogo haziishi hata mkeshe mnazipiga vita hapa. Nimependa kuna mdau kasema hapo juu kuwa kutoa ushauri sio lazima mtukane, kweli, kama mnataka toeni ushauri amuche namna gani, aanzeje maisha mwenyewe n.k ila sio ooh sijui ulimuibia mwenzio, sijui ulimtesa, kwani aliwákuta kitandani wanafanyana akamvuta huyo baba au huyo baba ndio alivaa chupi yake na suruali akaenda kumtongoza, wanawake bwana ndio maana mtaendelea kusumbuliwa na hili jambo, halitaisha kwa sasa limekomaa kama ukoma.

Ikifika zamu yako mume yuko ndani we muhudumie utulie, akitoka, we omba mungu, maana huko aendako haujui, anaenda kupewa nini, so hata akuite Sweet, sijui Honey pie, we omba mungu tu, lakini kukufuru na kumtukana mwenzenu mnakosea. MamaLo umeongea point, hawajakuelewa tu watu, good MamaLo hiyo ndio njia peke ya kuishi sikuhizi kwa amani hapa duniani, sio kumuuliza mwanamke mwenzio eti unaona raha gani kushare mkuki, kwani wewe unaona raha gani kufichwa ukweli na kuchekwa usogoni na kudanganywa kama mtoto mdogo? Nyumba ndogo za sikuhizi ndio zingine unakuta mpaka wakwe wanamjua wanamualika kwenye shughuli zao, wanaenda kumtembelea kuona watoto, sasa hapo NANI ALAUMIWE?mapenzi ni magumu kama siasa.

Mmezaliwa mmeyakuta, mtakufa mtayaacha,we kama hupendi kushare mwaname mfundishe mwanao wa kike akikuwa ajitahidi kabisa asifanye hivyo, lakini sio kukaa kutukana watoto wa wenzio hapa, wenyewe nao wametongozwa kama wewe.Nyumba ndogo nyingi za siku hizi wala hazifuati matunzo na pesa, wana hela zao nzuri tu, tena wengine ndo wanawakopesha waume zenu pesa, mnakula nyie.Oooohh, kalagheni BAHO. SALINI TU MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI, huo ndio ushauri wangu kwenu.


Huyu ni mbaba uwiiiiii.

Haya sasa mengine loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…