Mahususi kwa sisi ambao sikukuu hii tupo tu nyumbani wenyewe kama kawaida

Mahususi kwa sisi ambao sikukuu hii tupo tu nyumbani wenyewe kama kawaida

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.

Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.

Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.

Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
 
Kuna games za online unacheza na watu mfano PUBG au call of duty unaweza kuyatumia hayo magame ili kujifurahisha
 
Back
Top Bottom