Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.