Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
YapAu sio
YeahsRelax tu home mkuu
Sikukuu ni siku za watoto,
HahahahaaMimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
tafuta he.... au basiRelax tu home mkuu
Sikukuu ni siku za watoto,
Nitakuja kesho maana kila nikiingia hamna mtu onlineHahahahaa
Njoo tupige lastcard kdg
Au acheze game za casino za sport pesa uku unaingiza mkwanja[emoji23]Kuna games za online unacheza na watu mfano PUBG au call of duty unaweza kuyatumia hayo magame ili kujifurahisha
Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu.
Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress.
Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake.
Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
Uzee unakusumbuaMa game ni ya watoto
Nimeshazoea mm ngoja nigeuke upande wa piliTafuta sehemu ukafurahi kwa namna unayoijua wewe, usikae kama mnyama
Hahha Mungu akipenda siku nitakwendaNenda ibadani, au msikitin
Tafuta manzi utanishukuruNimeshazoea mm ngoja nigeuke upande wa pili